View attachment 1827284
Unaruhusiwa kufuga mbuni nyumbani au ni nyara za serikali?
Miaka ya nyuma enzi tukiwa wadogo
Kulikuwa na mzee mmoja anaitwa kessy buibui
Alikuwa anafuga wanyama mbali,nyoka alikuwa na zoo yake,wakati wa maonesho ya 77 alikuwa ana sehemu ya wanyama
Alikuwa anapenda kututafuta anatupa deiwaka tunaenda naye kwenye sehemu zake alipokuwa anawaweka wanyama tunasaidia kazi
Pale ruvu kulikuwa na sehemu yke ya wanyama mbuni walikuwepo...sasa sisi wengine ujanja,utundu tulikuwa nao tokea utotoni
Kuna siku tuliiba ya la mbuni, sasa huo mtiti wake siyo wa kitoto,yai tulikuwa hatujalitoa
Sasa yule mbuni mama anahaha ana sense yai lilipo,mtiti syo mdg kna mwenzangu aliingia kwenye 18 alipigwa take hadi kuzimia😂
Mm nlikimbilia chini ya mti ndy nkasave,maana kna mzee mmja nlikumbka alikuwa anasemaga tukiwaga naye kma mbuni akikukimbiza kimbilia chini ya mti,maana akija kuinama hawezi
Basi tulikaa pale na mzee mmja mpaka mz kessy anakja,ilikuwa usiku tunaona land-rover inaingia
Wacha nile vibao haha na adhabu juu sema mzee yule alikuwa anatukubali maana tulikuwa kama makamanda wake anatuaminia
Ila mbuni mwenye watoto kaa nao mbali usiwazingue
Ova