Nsiande
JF-Expert Member
- Jul 27, 2009
- 1,649
- 872
Ulikuwa wakati mzuri sana jamani hadithi ya ua jekundu tuliikariri na kuirudia kwa umahiri na yule mtangazaji wa Arusha Bahati sth RIP
na nilikuwa kwenye club ya watoto...good old days! Kisha st Kanumba yetu ilitembelewa na shangazi 'chei chei shangazi, uje tena shangazi, shangazi chei shangazi, tufurahi shangazi...' Awwww hii inanilengalenga machozi nikikumbuka dingi alinirekodia hiyo tape maana nilijibu maswali ...more reason to love you daddy dearest RIP
na nilikuwa kwenye club ya watoto...good old days! Kisha st Kanumba yetu ilitembelewa na shangazi 'chei chei shangazi, uje tena shangazi, shangazi chei shangazi, tufurahi shangazi...' Awwww hii inanilengalenga machozi nikikumbuka dingi alinirekodia hiyo tape maana nilijibu maswali ...more reason to love you daddy dearest RIP