Meritta
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 1,303
- 293
mama kamfokea mwanae kwa kuwa aligundua kuwa mwanae kacherewa kubikiriwa na alikasirika san siku hiyo, pia
kuanza kumuuza kwa wanaume pia alikuwa anaenda nae kwenye viwanja mbal mbali. pia mwanae akifumaniwa na kupigwa amekuwa akimuombea msamaa kwa kwa wapenz wake, kiukwel binti yake ni mdogo sana na baba wa bint alikuuwa akimtegemea bint uyo kuwa ataikomboa
familia lakn mama kachangia kumuharibu huyo mtoto. majiran wanashanga kuwa huo ni utandawaz au ndo kumpenda mtoto aendane na mambo ya kisasa, wana jamvi naomben mchango
kuanza kumuuza kwa wanaume pia alikuwa anaenda nae kwenye viwanja mbal mbali. pia mwanae akifumaniwa na kupigwa amekuwa akimuombea msamaa kwa kwa wapenz wake, kiukwel binti yake ni mdogo sana na baba wa bint alikuuwa akimtegemea bint uyo kuwa ataikomboa
familia lakn mama kachangia kumuharibu huyo mtoto. majiran wanashanga kuwa huo ni utandawaz au ndo kumpenda mtoto aendane na mambo ya kisasa, wana jamvi naomben mchango