HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
- Thread starter
- #41
HORSEPOWER
Jana umeandika thread kwamba wewe ni kijana ambaye umemaliza form 6 na kuchaguliwa chuo kikuu dodoma na mama yako alikuja dodoma over the weekend akikuambia muongozane wote mje dar ati akuoneshe baba yako mzazi orijino maana yule unae ishi nae si mwenyewe!!
Sasa leo naona umekuja na uzi mpya kwamba una mika 28 na unafanyakazi kwenye shirika la moja "KUBWA" la umma na unaishi Dar!! mbona fix nyingi dogo?? tukuelewaje?? chuo umeacha dodoma?? huko sinza kwa remmy umehamia lini??
Jiheshimu kijana..kumbe tuna akija :"Jane_00" hata wa kiume humu JF?? Kwl JF KIBOKO..LOh
Siyo kosa lako ndugu, inaonekana kuwa huwa hausomi mada mpaka mwisho. Mwisho wa mada kuna maneno haya
****** Email ya mdau mmoja toka Sinza kwa Remmy anaomba ushauri ****