zombi
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,618
- 1,333
HajarrrrKama ndio tabia zake hizo akuhurumie tu kwa kweli Da Sky.
HajarrrrKama ndio tabia zake hizo akuhurumie tu kwa kweli Da Sky.
Sijambo Zombi. Shikamoo!Hajarrrr
Mama yako jinsia gani?Mke wako sio ndugu yako, Ngoja utenguke mgongo unye hapo hapo bed ndo utaona hakuna kama mama, Uyo mkeo atatimua na kwenda kupigwa dushe, Binafsi niko tayari kwa chochote ili mama tu awe safe siangalia mama anakosa or lah, Yeye ndio first priority
Mke wako sio ndugu yako, Ngoja utenguke mgongo unye hapo hapo bed ndo utaona hakuna kama mama, Uyo mkeo atatimua na kwenda kupigwa dushe, Binafsi niko tayari kwa chochote ili mama tu awe safe siangalia mama anakosa or lah, Yeye ndio first priority
KeMama yako jinsia gani?
Kwahiyo yeye hana sifa unazowapa wanawake waliobaki? Na dada zako je vipi? Stop generalisation. Wewe unafikiri kila mwanamme ni mtimilifu na kila mwanamke ni mbaya basi including your mother.
Kwa ufahamisho, wanaume wengi wanapougua, ndugu zao huwatenga na kuwakimbia. Wake ndio wamekuwa wa kuwatunza tofauti na wake wanapougua muda mrefu, waume huwaterekeza. Fanya research kabla ya kuja na conclusion. Swala la sky lipo kwa tangu dunia inaumbwa tunasikia ya wakwe kuwaonea wivu wake wa watoto wao wa kiume.
Mkuu nimechukua maneno yako, AsanteKwa ufahamisho, wanaume wengi wanapougua, ndugu zao huwatenga na kuwakimbia. Wake ndio wamekuwa wa kuwatunza tofauti na wake wanapougua muda mrefu, waume huwaterekeza. Fanya research kabla ya kuja na conclusion. Swala la sky lipo kwa tangu dunia inaumbwa tunasikia ya wakwe kuwaonea wivu wake wa watoto wao wa kiume.
Siyo wote. Wengine mama wakwe zetu ni kama mama wa kutuzaa. Wanatupenda na kutujali pengine kuliko mama.
Huyu mama mkwe anapitia likes zote kujua nani na nani wamelike.Mama mkwe yupo fb
huyu wa huyu Mzee kazidi lknMama wakwe wengine vichomi mmmhh