Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,
Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!
Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!
Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?
.....huwezi tenganisha binti na mama yake, wewe utabaki mume na yule atabaki kuwa mama yake.
Mie mwenyewe mtoto wa mama hata nikiuzika nikiongea na mama naona nafarijika na kuwa na furaha.
Huyo mkeo ana bond nzuri na mama yake. Kama unapata haki yako kama mume ya tosha, mwache mkeo afurahi na mama yake.
Ishi na mwanamke kiakili
sasa si bora awe close na mama yake kuliko apate shosti shangingi amuuunganishe na vibuzi?
jaribu kumnunulia mama mkwe zawadi umpe mkeo ampelekee uone utakavyo pendwa zaidi..........
Pole mkuu. Nachokushauri hapa sidhani kama sahihi ila ningefanya mimi. Nakushauri usimwambie siri zako za ndani na mitikasi,punguza kufanya mapenzi na yeye,tafuta marafiki au kama una mtoto spend time nayeye. Mwache afanye atakalo. Wanawake wasikuumize kichwa kabisa mkuu. Mwache ajifukuzishe .hapa naloona huwezi hua ni lipi wanalipanfa yeye na mama yake. Wanawake nj watu very dangerous mkuu. Usione huruma. Keep distance as well.
We jamaa unanishangaza sana. Sasa ulitaka wachukiane? Au unampenda pia mkweo kiaina wanakubana kupata kitoweo cha kuku na yai lake? Hujasema kabisa kinachokufanya wanakuboa ni nini hasa? Kupigiana simu? Ulitaka akupigie nawe hapohapo kitandani?
Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo
muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,
Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni
kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja
namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee
nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa
ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah
mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama
tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa
mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo
kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni
tatizo gani'!!
Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!
Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?
.....huwezi tenganisha binti na mama yake, wewe utabaki mume na yule atabaki kuwa mama yake.
Mie mwenyewe mtoto wa mama hata nikiuzika nikiongea na mama naona nafarijika na kuwa na furaha.
Huyo mkeo ana bond nzuri na mama yake. Kama unapata haki yako kama mume ya tosha, mwache mkeo afurahi na mama yake.
Kwanza mkuu, nikiri kwamba siwezi kuingia kwenye kiatu chako wewe uliye na fikra kama hizo ambazo wenye akili timamu hawawezi kumsema mke na mkwe kwenye jamvi la kadamnasi. Sithubutu oooh! Asante kulitambua hilo mwanzoni kabisa. Pili, mimi ni kidume ninayejua raha na karaha za ndoa lakini naegemea kwenye raha zaidi, kwa kuwa ukitaka kuona raha ya ndoa unapaswa kuepuka fikra za kipuuzi kama ulizo nazo. (Darasa hilo usichukie samahani). Kubali kujishusha ufanane na interest za mwenza wako, uwe mume au mke - wote jitahidi sana kubalance interest hata kama kwa maumivu Fulani, kwa kuwa mume namke sasa ni mwili mmoja japo akili tofauti. WEWE ndiye kichwa cha familia na unapaswa kuwa na control ya mwenendo wa maisha ya kifamilia. Mambo mengi yaliyo matatizo ya wanandoa hayasuluhishwi JF bali kitandani kwenu 6x6. Unazo namna nyingi za kusyaendea hadi achievement. Mtu ----- anatarajia jamaa wa nje ya familia kutatua matatizo ya familia yake bila kuona impact hasi atakazokumbana nazo kusimulia mambo ya familia yake. Kila familia inazo adha zake na raha zake. Jirani yako unapomwona anafurahia sana ndoa yake usidhani yeye ndo kapata sana kukuzidi na kwamba hana adha. Matatizo ndani ya familia yako ndio kipimo cha ukomavu wako na mapenzi uliyo nayo kwa mkeo au mumeo.Nilipokuwa sijaoa, nilikuwa naangalia matatizo ya ndoa za rafiki.zangu, ndugu zangu ili nijifunze lkn siyo kutoa maoni nikiwa na attitude kama yako, you are not in my shoes, na nadhani haujaoa, kama umeoa wewe ni aina ya wanaume wanaokubali kwenda kuishi seating room ya nyumbani kwa wakwe au ktk baadhi ya vyumba under the ver same roof na wakwe zako!! Au inawezekana ww ni mwanamke so, haufahamu how it feels like!!!
Na hata kichwa chako na mdomo wako na vidole vyako vinaonesha ww ni mtu wa aina gani, hadi kunambia au nataka kulala na mama mkwe wangu!!!! Mungu akusamehe but you better learn good manners!!!!!