Mama mkwe na mke wangu

Mama mkwe na mke wangu

Bunyu

Senior Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
119
Reaction score
32
Ni mama yake sawa, na ni mama yangu kwasababu ni mkwe wangu na nampenda kweli! She is nice.
Sasa tatizo nikwamba ni marafiki wa mnoo na binti yake, I think she is the one who makes my wife happy kulikoni mimi, ni mama yake sawa lakini mie ni mume wake.

Nadhani mama ana nafasi kubwa katika maisha yake kuliko mimi.

Simu wanapigiana hata mara nne kwa siku inaniboa.

She is too close hadi najisikia kama hatujakua coz as if she is watching over us.

Ikumbukwe kwamba kikwetu so long as nimeoa, jina la mwishoni la mke wangu linakuwa langu.

Na mwenzangu anaonekana yupo happy, anaona kawaida na ukaribu huo, yaani hakuna tofauti na alipokuwa nyumbani na sasa alipoolewa.

Na mie nataka that independent family.

Nahisi kuchoka
 
Ishi na mwanamke kiakili

sasa si bora awe close na mama yake kuliko apate shosti shangingi amuuunganishe na vibuzi?

jaribu kumnunulia mama mkwe zawadi umpe mkeo ampelekee uone utakavyo pendwa zaidi..........
 
Even if she is decent, it's not good.

I know that experience far too well.


Ni kawaida wamama kuwafichia siri mabinti zao
hata kama bado binti ana keep in touch na ex bf
mama atamfichia siri....

sometimes 'mume ni kama a day job' hivi kwa wanawake...
 
Hiyo ni mbaya sana mkuu, wazazi wanapooza wanapaswa kuwaachia wana wao...

Ni bora a penetrate kati kati yao kuliko kuwatenganisha kwa nguvu..
mi namjua kuna mdada alikuwa so close na mama yake mume akafanya kila namna kuwatenganisha
kilicho fuata ni mdada kutafuta mwanaume tu pembeni........
 
Hiyo haifai kabisa na mda si mrefu ataanza kuona weakness zako
 
Ni wewe tu hauko karibu na wazazi\mama. Wenzio wanatupigia hivyo hivyo. Huwa tunashauri tu hatuharibu.
 
Je,mkeo baba yake yupo hai??au anaishi na mama ake(mama mkwe wako)??kama sivyo basi mazingira ya malezi ndiyo yamefanya awe hivyo...kama ndivyo basi yakupasa kufikiria nakumpa jambo mkeo litalomfanya awe anafikiria familia yako zaidi...
 
Ni bora a penetrate kati kati yao kuliko kuwatenganisha kwa nguvu..
mi namjua kuna mdada alikuwa so close na mama yake mume akafanya kila namna kuwatenganisha
kilicho fuata ni mdada kutafuta mwanaume tu pembeni........

Mkuu nadhani hadi kufikia huyu jamaa kuandika haya ni lazima maji yamemzidi kimo...

Huenda mkewe amekua na imani kwa mamaye zaidi ya mumewe...

Hivi unatambua mkuu kuwa kuna wanawake huolewa na bado hushindwa kujua position yao ndoani...

Pia kuna wanaume ambao huoa lakini maamuzi yao katika ndoa hupata muafaka kutoka kwa wazazi...

Sidhani kama hili ni sahihi mkuu....mzazi anapaswa kuwa mshauri tu na anapaswa atoe space...
 
Jambo hilo ni la kawaida sana na hiyo hutegemea namna walivyoishi, hupaswi kuumiza kichwa na wala lisikukwaze unapaswa kutumia akili la sivyo litakuharibia ndoa yako. Chukulia kawaida ila jitahidi kuongeza upendo kwa mkeo ili akuzoee zaidi na kidogo kidogo atapunguza upendo kwa mama.
 
ni mama yake sawa, na ni mama yangu coz ni mkwe wangu na nampenda kweli! She is nice.
Sasa tatizo nikwamba ni marafiki wa mnoo na binti yake, i think she is the one who makes my wife happy kulikoni mm, ni mamayake sawa lkn mie ni mume wake!! Nadhani mama ana nafasi kubwa ktk maisha yake kuliko mm!!,

simu wanapigiana hata mara nne kwa siku!!! Inaniboa.
She is too close hadi najisikia kama hatujakua coz as if she is watching over us!

Ikumbukwe kwamba kikwetu so long as nimeoa, jina la mwishoni la mke wangu linakuwa langu!! Na mwenzangu anaonekana yupo happy, anaona kawaida na ukaribu huo, yaani hakuna tofauti na alipokuwa nyumbani na sasa alipoolewa!! Na mie nataka that independent family!! Nahisi kuchoka atiiiii!'!!! Ophyuuuuuuuuuuu!

umeshawahi mwambia mkeo???..usije ukafa kijerumani...
 
Ni u close tu au amemshikia na akili pia?!

Kama ni ukaribu tu not thay bad ila kama anamkontroool dah os too bad

Akili itumike kuishi nae zaidi ya hisia bro..
 
Duh kama imenigusa hivi mimi mama yangu ndo tulivyo tunapigiana hata zaidi ya mara nne kumbe inakwaza
 
Jambo hilo ni la kawaida sana na hiyo hutegemea namna walivyoishi, hupaswi kuumiza kichwa na wala lisikukwaze unapaswa kutumia akili la sivyo litakuharibia ndoa yako. Chukulia kawaida ila jitahidi kuongeza upendo kwa mkeo ili akuzoee zaidi na kidogo kidogo atapunguza upendo kwa mama.


Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,

Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!

Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!

Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?
 
kaka pole sana. duh hapo ulipofikia ni pagumu. kila kitu mama kila kitu kwa mama. hebu kuwa makini kuna mama na binti wengine mi kama mtu na dada yake aisee. hasa wale ambao age difference ni miaka kumi mpk 15 ni shida.
 
Nashukuru kwa michango,
Nikiangalia saa saizi ni saa tatu na dk saba, ndo ametoka kuingia siyo muda mrefu , kutoka wapi? Kwa mama!!!!!,

Tulikubaliana anaenda kuna mgonjwa anaenda kumtazama pale home, ni kweli. tumewasiliana vzr hadi mida ya saa nane mchana, saa kumi na moja namchek hapatikani mama hapatikani mdogowake anapatikana akanipa niongee nae, ananambia umeme umekatika na simu hazikuwa na chaji, unaondoka saa ngapi, ooh mume wangu nitachelewa coz kuna tatizo mama kapata, aah mbona hukunambia mapema, aah kupitiwaaaa!! Kimasikhara kama tunataniana!! Na.siyo mara ya kwanza hii late coming kutoka home kwa mama!!! Huyu ni mke wangu!! Sasa kwann asimshauri kwamba mwambie mumeo kwamba kuna tatizo coz inaonekana halijatokea ghafla halafu siambiwi ni tatizo gani'!!

Wananiona mi ni easy taker au vp????!!!!

Aah Mamdenyi, ndo mnavoshauriana na mama zetu wakwe hivo!!!!!?

Kaka inabidi utualie sana na utumie akili zaidi unapotafuta ufumbuzi wa suala hilo, kaa na mkeo mzungumze kwa kina lkn kama alivyoshauri jamaa hapo juu tafuta namna ama njia nzuri ya kumfanya mkeo awe busy na awe karibu zaidi na wewe ama familia yako.

Usipokua makini atakutumia kigezo hicho cha ukaribu na mama kufanya mambo yake mengine.

Vuta subira, tafuta ufumbuzi ambao hautawagombanisha nyinyi nyote. Kumlaumu mkwe moja kwa moja ni ngumu kwa sbb ya heshima lkn wakwe wengine wanasahau kuwa binti anapoolewa anapaswa kuwajibika zaidi kwa ndoa yake kuliko huko alikotoka

Pole sana mkuu
 
Ni mama yake sawa, na ni mama yangu coz ni mkwe wangu na nampenda kweli! She is nice.
Sasa tatizo nikwamba ni marafiki wa mnoo na binti yake, I think she is the one who makes my wife happy kulikoni mm, ni mamayake sawa lkn mie ni mume wake!! Nadhani mama ana nafasi kubwa ktk maisha yake kuliko mm!!,

Simu wanapigiana hata mara nne kwa siku!!! Inaniboa.
She is too close hadi najisikia kama hatujakua coz as if she is watching over us!

Ikumbukwe kwamba kikwetu so long as nimeoa, jina la mwishoni la mke wangu linakuwa langu!! Na mwenzangu anaonekana yupo happy, anaona kawaida na ukaribu huo, yaani hakuna tofauti na alipokuwa nyumbani na sasa alipoolewa!! Na mie nataka that independent family!! Nahisi kuchoka atiiiii!'!!! ophyuuuuuuuuuuu!

zaa hlf ujue huo ukaribu una maana gani?wivu tu unaokusumbua mtu kuwa karibu na mama yake ndo inakuaje kwani?umemnunua mzima mzima?hebu ondoa fikra potofu
 
Back
Top Bottom