PRINCE JOHN
Member
- Feb 5, 2015
- 48
- 9
Ungemkonyeza pia uone what could be her next response. inawezekana kakuzimia kama mshumaa, chezea mama ya uswazzi weye!!
Mmmh hizi thread zingine. Embu ngoja kwanza..
ulijuaje kama anakukonyeza kama hukuwa interested? kwann umuabishe mama mzaa chema? lazma utakuwa na matatzo au utoto unakusumbua.
mtoa mada anatumia :bange:
ana kengeza huyo wewe ,hembu nipe namba yake kwanza nimuulize
Dunia haina mwisho wewe ndo una mwisho siku ukiondoka dunianiDunia inaendea kufika mwisho
Mama mkwe wangu bado anaonekana kijana. Weekend tulienda kumtembelea tukiwa sebuleni pale mimi na yeye, mchumba alikuwa jikoni mama alikaa vibaya nikasogeza macho kuangalia pembeni na kujidai sioni chochote.
Tukaendelea kupiga story kumwangalia machoni akanikonyeza.
Yaani mimi sijaelewa alikuwa anamaanisha nini huyu mama.