MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 4,479
- 6,532
anakupima kama ww ni mchepukaji. uwe shupavu uko kwenye mtihan wa uaminifu
Mitihani mingine ni kujidhalilisha tu, kama ni mimi nampachika mimba kabisa
anakupima kama ww ni mchepukaji. uwe shupavu uko kwenye mtihan wa uaminifu
Ana mume au hana
mtoa mada anatumia :bange:
Muulize mchumba wsko pengine mama yake anaugonjwa wa kufumba macho mala kwa mala