Ova
Member
- Feb 18, 2017
- 46
- 31
Habari wanajamvi,
Kuna mama mmoja ameniomba nimtafutie mwamvuli kwa ajili ya kumkinga na jua katika biashara yake anayofanyia pembezoni mwa barabara, kutokana na majira ya sasa jua kali.
Kwa wenzangu mliopo katika makampuni ya simu(airtel,tigo.n.k hiyo miamvuli huwa inapatikana kwa gharama gani?
Mwenye nao aje inbox!
Kuna mama mmoja ameniomba nimtafutie mwamvuli kwa ajili ya kumkinga na jua katika biashara yake anayofanyia pembezoni mwa barabara, kutokana na majira ya sasa jua kali.
Kwa wenzangu mliopo katika makampuni ya simu(airtel,tigo.n.k hiyo miamvuli huwa inapatikana kwa gharama gani?
Mwenye nao aje inbox!