Mama miwani, mchawi hatari anayetikisa Kahama

Mama miwani, mchawi hatari anayetikisa Kahama

Nina matumaini kuwa watu wa vyombo vya usalama huwa wanasoma yanayoandikwa JF. Tunaomba hatua za haraka zichukuliwe kwa huyo anayejiita @wiseboy kwani inaonyesha huenda akasabisha madhara makubwa kwa huyu mama asiye na hatia. Nakumbuka juzi alikuja tena na thread nyingine ya umbeya kuhusu askari.

Tink big before you provide any comment,unakurupuka tu kuchangia hovyo,eti nilikuja na thread ya askari leo nimekuja na ya mchawi so what? tatizo liko wapi kwani? hii ni sehemu ya kupashana habari au wewe unataka kunichagulia habari za kuweka humu? ilikuuma nini wewe kuhusu askari aliyempiga kijana asiye na hatia? inakuuma nini kuweka thread ya huyu mchawi? kwanza jina lake halisi nimelificha,atakayemdhuru ni nani? au huwa mnawanga wote na huyo mama? wht a nonsense do u comment? aisee wewe si bure,you might be either originated from the accused police or that sorcerer.
 
wiseboy asante kwa taarifa bwana mdogo. Nami nipo kahama mjini mtaa wa Nyahanga karibu na kwa diwani Mlekwa. Nitakutafuta.

Utaniwia radhi mkuu,kutokana na thread nazoweka humu ambazo zinawatuhumu baadhi ya watu kwa maovu yao hivyo kuyaweka maisha yangu hatarini endapo nitajulikana,hivyo sipo tayari kabisa kuonana na wala kufahamiana na mtu yeyote anayetokana na JF wengi wameni pm wengine wakitumia wanawake kuni trap lakini imeshindikana,uongozi wa JF kwa kulijua hilo ndo maana waliruhusu tutumie ID fake,sipo tayari mkuu,I'm very much sorry.
 
Last edited by a moderator:
Nyie ndo mnachochea wananchi kuchukuwa sheria mkononi. Huwezi kumjua mchawi kama wewe siyo mchawi. Hivyo wewe ni mchawi pia.

Wabongo akili zenu zimejaa funza kweli,ndo maana linchi haliendelei kila siku shida tu,nani anachochea wananchi hasira wewe nyambaf zako? hasira zichochewe humu JF? unadhani hapa ni Japan,US au China ambako kila mwanakijiji ana access na mtandao? Tz hii wanavijiji wanaingia ktk mitandao? kwanza huyo mama miaka yote wanavijiji wanamjua kuwa ni mchawi hatari,eti leo uandishi wa wiseboy ndo uchochee hasira za wananchi,kuna mijitu haipigi akili mswaki hata kidogo ndo tatizo la shule za kata hilo,eti umemjuaje na wewe utakuwa mchawi,nyambaf kabisa thinkless man wewe angekuwa na yeye mchawi angeandikaje uchawi wa mwenzake,au angekuwa yeye polisi angewezaje kuandika uozo wa polisi mwenzake? siku zote habari huja ktk reflection form,lazima muwe tofauti ndo umuandike mtu,pambav zako muone kwanza.
 
Utaniwia radhi mkuu,kutokana na thread nazoweka humu ambazo zinawatuhumu baadhi ya watu kwa maovu yao hivyo kuyaweka maisha yangu hatarini endapo nitajulikana,hivyo sipo tayari kabisa kuonana na wala kufahamiana na mtu yeyote anayetokana na JF wengi wameni pm wengine wakitumia wanawake kuni trap lakini imeshindikana,uongozi wa JF kwa kulijua hilo ndo maana waliruhusu tutumie ID fake,sipo tayari mkuu,I'm very much sorry.

hahaha.. kwa kazi yako [uandishi wa habari za kiuchunguzi kama unavyojinasibu] u should fear nothing.. ila i was just joking, kua na amani.
 
@kashesho Daah! Akawa anainuka kuendelea kufanyaje???

nami pia hapo nimeshindwa kupaelewa
jamani hamjamuelewea shuhuda? alimaanisha alikuwa anakufa, anafufuka, anakufa tena, nafufuka, anakufa, labda shuhuda atueleze tu kuwa ilikuwa inachukua mda gani hadi kufufuka? na alikufa na kufufuka mara ngapo? nataka tulinganishe na historia ya Yesu wa kwenye Biblia
 
Wabongo akili zenu zimejaa funza kweli,ndo maana linchi haliendelei kila siku shida tu,nani anachochea wananchi hasira wewe nyambaf zako? hasira zichochewe humu JF? unadhani hapa ni Japan,US au China ambako kila mwanakijiji ana access na mtandao? Tz hii wanavijiji wanaingia ktk mitandao? kwanza huyo mama miaka yote wanavijiji wanamjua kuwa ni mchawi hatari,eti leo uandishi wa wiseboy ndo uchochee hasira za wananchi,kuna mijitu haipigi akili mswaki hata kidogo ndo tatizo la shule za kata hilo,eti umemjuaje na wewe utakuwa mchawi,nyambaf kabisa thinkless man wewe angekuwa na yeye mchawi angeandikaje uchawi wa mwenzake,au angekuwa yeye polisi angewezaje kuandika uozo wa polisi mwenzake? siku zote habari huja ktk reflection form,lazima muwe tofauti ndo umuandike mtu,pambav zako muone kwanza.
ona majibu ya kiazi hiki.
 
Tink big before you provide any comment,unakurupuka tu kuchangia hovyo,eti nilikuja na thread ya askari leo nimekuja na ya mchawi so what? tatizo liko wapi kwani? hii ni sehemu ya kupashana habari au wewe unataka kunichagulia habari za kuweka humu? ilikuuma nini wewe kuhusu askari aliyempiga kijana asiye na hatia? inakuuma nini kuweka thread ya huyu mchawi? kwanza jina lake halisi nimelificha,atakayemdhuru ni nani? au huwa mnawanga wote na huyo mama? wht a nonsense do u comment? aisee wewe si bure,you might be either originated from the accused police or that sorcerer.
walahi nimependa unavyotoa makavu live,
 
Sisi tuliozungukwa na damu ya YESU (kwa imani yangu pls) hakuna mchawi,pepo wala upuuzi wowote waweza kutugusa.
hata ukisomewa Salat Al badil inadunda. Damu ya Yesu ni nomaaa
 
Mkuu wiseboy ..Ulikuwa Mfanya Biashara Na Mkulima Vp Umesomea Wapi Hii Taaluma Yako Ya Uaandishi Wa Habari?
Njuweni Hotel wanatoa ADVANCED CERTIFICATE IN JOURNALISM. Amesoma pale na Marine Hassan hiyo Course
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kutoa thread ya polisi m.shenz ambapo niliitwa mbea na maneno mengi yakatolewa dhidi yangu,leo tena nimekuja na mpya.

Ni kawaida sana sisi waandishi kuitwa wambea,wakuda,wanafiki na n.k,hiyo ndio kazi yetu we don't care anyway.

Mama miwani (si jina lake halisi) ni mama hatari mkazi wa kijiji cha Ilogi ktk wilaya ya Kahama.Neno ilogi ni la kisukuma likiwa na maana ya "mchawi"(nitaelezea siku nyingine kuhusu kijiji hiki).

Mama huyu ambaye nilipata kumfahamu tangu akiwa Musoma,alifukuzwa hapa Musoma kwa tuhuma za uchawi ndio akakimbilia Ilogi ambako hata baada ya kufika huko tabia yake hakuiacha.

Katika tukio moja la kifo cha utata cha mtoto wa miaka 8 ambaye alifariki ghafla na akawa anainuka na kuendelea kufa ambapo mimi ni shuhuda,mama huyu alihusishwa na tukio hilo kwa ushahidi dhahiri.

Ni mwanachama mwaminifu wa chama kinachojiona ndio mungu mtu wa Tanzania,kijiji kizima cha Ilogi kina habari zake na alihusishwa na mauaji ya mlinzi wake ambapo inasemekana amemficha msukule.Ana jumba kubwa linalotisha hata mchana.

yaani siku hizi mtu akijisikia kuandika andika,kujisemea semea anasema sema hovyo tu na kuandika andika hovyo hovyo tu
 
Njuweni Hotel wanatoa ADVANCED CERTIFICATE IN JOURNALISM. Amesoma pale na Marine Hassan hiyo Course

Kila napomuona Marine Hasan Marine huwa nakumbuka tukio la Makamanda wa M4C kutaka kumshushia kipigo kizito pale Jangwani baada ya TBC kukata ghafla matangazo ya Live ya Chadema.
 
Tink big before you provide any comment,unakurupuka tu kuchangia hovyo,eti nilikuja na thread ya askari leo nimekuja na ya mchawi so what? tatizo liko wapi kwani? hii ni sehemu ya kupashana habari au wewe unataka kunichagulia habari za kuweka humu? ilikuuma nini wewe kuhusu askari aliyempiga kijana asiye na hatia? inakuuma nini kuweka thread ya huyu mchawi? kwanza jina lake halisi nimelificha,atakayemdhuru ni nani? au huwa mnawanga wote na huyo mama? wht a nonsense do u comment? aisee wewe si bure,you might be either originated from the accused police or that sorcerer.

Niondolee kiingereza cha kuchovya hapa. Hukijui unajaribu kuchovya chovya. Kuamini kwako uchawi na wanga kunaonyesha wewe ni mtu wa aina gani! Watu wanarusha chombo kinasafiri miaka kibao kwenda kutua kwenye comet wewe bado unalia lia na eti wanga na wachawi! Maisha yako na ufahamu wako bado uko kwenye enzi za mawe!
 
Back
Top Bottom