Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,105
- 110,832
Dah wewe ni mwandishi wa habari, poor Tanzania mauaji ya vikongwe kwa namna hii yataisha kweli? Shame on you!
Mkuu, usiumize kichwa kwaajili ya Miner....
Dah wewe ni mwandishi wa habari, poor Tanzania mauaji ya vikongwe kwa namna hii yataisha kweli? Shame on you!
Katika Israel tu!:israel:nasema hivi uchawi haupo!!
Daah! Akawa anainuka kuendelea kufanyaje???
Huyu jamaa dini yake itakuwa serikali aisee, vitabu vyote vya dini vinazungumzia uchawi na majini halafu wewe bado hauamini kama vitu ivyo vipo! ! We dhehebu lako ni serikali wewe
hiyo damu inapatkana wap ikiwezekana tuwapelekee hao wakazi wa hcho kijij
Inawezekana na wewe ni mmoja wao! Kama vitabu vitakatifu vinatambua kuwa uchawi ulikuwepo toka enzi za Farao, wewe unakataa basi unaweza kuna kuwa Mungu hayupo! Si shangai kwani wengi wanaokataa kama wewe ni washirika wakubwa wa imani hiyo ya kishirikina.
Kule Sumbawanga walimu walikuwa wanakimbia shule fulani, kwani kila wakilala ndani ya nyumba zao asubuhi wanajikuta wamelala nje hadharani! Hii utasema walikuwa wanaumwa cerebral malaria?
MziziMkavu anaweza thibitisha.Uchawi/majini ni vitu visivyothibitika,ndio maana huwezi kushitaki!
MziziMkavu anaweza thibitisha.
Baada ya kutoa thread ya police m.shenz ambapo niliitwa mbea na maneno mengi yakatolewa dhidi yangu,leo tena nimekuja na mpya,ni kawaida sana sisi waandishi kuitwa wambea,wakuda,wanafiki na n.k,hiyo ndo kazi yetu we don't care anyway,mama miwani (si jina lake halisi) ni mama hatari mkazi wa kijiji cha ilogi ktk wilaya ya kahama,neno ilogi ni la kisukuma likiwa na maana ya "mchawi"(nitaelezea siku nyingine kuhusu kijiji hiki) mama huyu ambaye nilipata kumfahamu tangu akiwa musoma,alifukuzwa hapa musoma kwa tuhuma za uchawi ndo akakimbilia ilogi ambako hata baada ya kufika huko tabia yake hakuiacha,ktk tukio moja la kifo cha utata cha mtoto wa miaka 8 ambaye alifariki ghafla na akawa anainuka na kuendelea kufa ambapo mimi ni shuhuda,mama huyu alihusishwa na tukio hilo kwa ushahidi dhahiri,ni mwanachama mwaminifu wa chama kinachojiona ndo mungu mtu wa Tz,kijiji kizima cha ilogi kina habari zake,na alihusishwa na mauaji ya mlinzi wake ambapo inasemekana amemficha msukule,ana jumba kubwa linalotisha hata mchana.
Mama miwani njoo kipande hii tafadhali utoe ufafanuzi wa mashtaka haya....Mkuu wiseboy, ni njia ipi unadhani huenda ikawa suluhisho la tabia yake? Umewahi/mmewahi kujaribu?
Philipo magendo ni cha mtoto kwa huyo mama,ni huyo huyo mwenye gari nyeupe na kada wa ccm,hakuna asiyemjua ilogi yote,anajifanya ana hekima hana lolote mwanga mkubwa yule,siku ya mauaji ya utata ya mlinzi alitoa pesa kisiri akampa mkuu wa kituo cha police huku mimi na vijana wangu tukila chabo,hatari sana yule mama alifukuzwa msm
nasema hivi uchawi haupo!!
wiseboy asante kwa taarifa bwana mdogo. Nami nipo kahama mjini mtaa wa Nyahanga karibu na kwa diwani Mlekwa. Nitakutafuta.Nipo ngara,mpakani mwa Rwanda na Tanzania,unataka ujue nilipo ili mnifuate kuning'oa meno? nina mazito ya kueleza humu yapo zaidi ya 200.