cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Mama yangu mdogo tangu ameambukizwa Virusi Vya Ukimwi miaka 2 iliyopita amekataa kata kata kutumia dawa za ARV ili kuongeza maisha.
Amekuwa mbishi, licha ya kushauriwa na madaktari, anadai ni bora afe na ana umri wa miaka 27 na mtoto mmoja wa kike wa miaka 6 ambaye alimzaa kabla ya kuambukizwa HIV.
Afya yake kwa kweli imedhofika hadi huruma, anashauriwa atumie dawa ili amtunze mwanae, anakataa kata kata.
Mwenye mbinu mbadala anisaidie ili huyu ndugu yangu atumie dawa, tangu agundulike hajawahi kutumia dawa za ARV miaka 2 sasa na afya yake ni mbaya sana.
Amekuwa mbishi, licha ya kushauriwa na madaktari, anadai ni bora afe na ana umri wa miaka 27 na mtoto mmoja wa kike wa miaka 6 ambaye alimzaa kabla ya kuambukizwa HIV.
Afya yake kwa kweli imedhofika hadi huruma, anashauriwa atumie dawa ili amtunze mwanae, anakataa kata kata.
Mwenye mbinu mbadala anisaidie ili huyu ndugu yangu atumie dawa, tangu agundulike hajawahi kutumia dawa za ARV miaka 2 sasa na afya yake ni mbaya sana.