Kwahiyo hapa anatuambia Habari leo ni Gazeti la Propaganda dhidi ya wengine?Amegusia ishu ya siasa mgombea mwenzie kusambaza magazeti 200 ya kesho usiku kabla ya uchaguzi ikiwa na story ya ARV feki gazeti ni habari leo
wanajuana wenyewe
Kwahiyo hapa anatuambia Habari leo ni Gazeti la Propaganda dhidi ya wengine?
Amegusia ishu ya siasa mgombea mwenzie kusambaza magazeti 200 ya kesho usiku kabla ya uchaguzi ikiwa na story ya ARV feki gazeti ni habari leo
Tetesi: watu wanasema mama huyu kuwa alihusika kwenye kashfa fulani ya MADAWA na scheme kama ya DECI, na kuwatapeli wanawake wenzie, Je ni habari za kweli?
Yupo live anatiririka kuhusu ARV feki anasema kiwanda chake kimeshusha mzigo mara mwisho april 2011
Anaamini kuna ujanja ujanja katika biashara, ni kuchezeana
inasikitisha mkuu.Kwakuwa ni mfadhiri wa ssm hatafanywa chochote. Kamapicha ya aliyeuwawa mwandishi wa habari marehemu mwangosi inaonesha wazi kuwa askari ndiyo wamemuua, harafu taarifa ya kamati inasema polisi hawakuhusika moja kwa moja, tutashangaa nini hata huhuyu kada wa ssm kuruka kuwa kiwanda chake hakihusiki!
Nitashangaa muathirika yeyote akiipigia kura chama twawala.