John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,343
- Thread starter
- #41
Mbopo hamna la kuongeza, UBARIKIWE TU!
siku za mama zinahesabika kaka
Mbopo hamna la kuongeza, UBARIKIWE TU!
Acha uongo hakuna walichofanya wakati kuna mpango jimbo la mamam huyu kusaidiwa na IRAN wachimbe mafuta au hufahamu mahusiano mazuri ya familia ya mama huyu na IRAN?
Hivi huyu mama si kaolewa Dodoma? Sasa yeye ni mkazi wa Same au Mtera? Watani zangu wapare hebu kuweni serious. msimchague huyo kada wa mafisadi
Mh. Anna Kilango ndiye anayekusanya kodi toka kwa wananchi wa Tanzania? Maendeleo yanaletwa kwa kutumia pesa za kodi........labda nyie hamlipi ndio maana hizo barabara hazijengwi au unadhani wanaokusanya kodi wanapeleka pesa mahali bila kuangalia mchango wa hilo eneo katika uchumi wa Taifa? Unafikiria mtavuna tangawizi kiasi gani iweze kutoa kodi ya TShs 900 million gharama ya kujenga kilometa moja ya lami?
Usiwe mwepesi kulaumu bajeti hupangwa na serikali na siyo mbunge.
Kelele nyingi tu kumbe hakuna kitu.Naomba wana JF tupeane taarifa za maendeleo majimboni kwa wabunge wanaojifanya wanaongea sana bungeni
Kwa Lowassa mambo mazuri jimbo limetandikwa lami hadi vyumbani ahaaaa aaaa.
mkuu wangu tuko pamoja ..Mungu akubariki (mfumwa akurinde)Kilango kajichoresha kuhusu mswada wa katiba na round hii tunafanya vikao na kila kaya same kuanika uovu wa mama huyu mzugaji mkubwa.
black acha hizo bana......... mgawo wa pesa za kodi kwa maendeleo ya wananchi
humea jinsi mwakilishi wa wananchi alivyo karibu na mkulu.umesahau jinsi mramba wakati ule akiwa karibu sana na ben pesa zote za bara bara zilipelekwa rombo bila kujali kelele za wabunge wengine ambao majimbo yao hayakuwa hata na meta moja ya lami. huyo mama hafai kuwa mama wewe hujui kuwa mama mkorofi na wanaye hula kwa macho tuu. kalagabahoo.
Uko kijiji gani? Tuonane hapo Gonja Maore siku ya Kiete.
sasa mkuu unaongea tu na unaona sawa?ok'utamtoa wewe?unajua mipango yoyote endelevu ya kumtoa?manake kama ni kuongea wote tunaweza'ila asiporudi bungeni kile kibabu lazima kitampiga chini
hahah ..haya Faiza ..William amekusikia ujue.siku njema mamaMama yupo bize anamshughulikia Mzee, mnategemea atafanya nini huko Upare?
Mimi ni mwanamapinduzi na mwanaharakati ...huyu mama kaja katuharibia jimbo letu anaongea sana na hakuna anachofanya zaidi ya kuwahadaa wananchi wa same.. sasa mama nakuambia kuwa mwisho wako unakaribia..
jimbo zuri lakini wananchi wake wanaishi gizani ..kuanzia afya ,elimu na barabara ...jimbo lote hakuna barabara ya lami hata moja ...wananchi waliahidiwa barabara ya lami toka mkomazi hadi same lakini hadi leo hakuna hata dalili na ni ndoto na nina uhakika wewe mama huwezi kuileta ..sasa jua kabisa kuwa mwisho wako ni 2015...nitapita nyumba kwa nyumba na kuwaelewesha wananchi kuwa nchi yao inaliwa na wajanja na wewe ukiwa mmoja wao...
pokea kwanza hii alert ....
Avacheemkuu wangu tuko pamoja ..Mungu akubariki (mfumwa akurinde)
Thread hii ina harufu ya kifisadi
Black Bat,Hii signature yako Mi HOOOOOOOIIIIIIIIIII kwelikweli,hasa hapo kwenye red "ukipenda niite double biiiiiii!! tchao "Double "B" Pale Njiro-SDA kwa chini sio?Yaani KOO limenibana ghafla na Kiu Ya Biere yaani "Chui na Ndovu" Mkuu.Ukiwa Mbunge badala ya "Domo Kaya" Kilango Mdandia Hoja za CDM nitakuja kukuunga mkono tufunge Double B bar mkuu!!!!
mimi nipo mamba miyamba ..mira hena misi neza kutasa aho gonja maore
mdivendo?