Mama kamwaga ajira, mmeona?

Mama kamwaga ajira, mmeona?

Zilizopita kuna washkaji wamesota kitaa miaka 4 wamechakaa hamna wanaemjua popote sote wachimba chumvi na wamepata
watu bhna wanapenda sana kushikilia jambo, kwahiyo wote waliopata kazi wana godfather, kuna bahati pia , mdau naona hajaelewa hilo
 
Wadogo zangu pamoja na kaka zangu ...mama yetu raisi wa injii amemwaga ajira wale wenye sifa stahiki ombeni..usiseme unajaribu bahati yako..wewe omba kama iliandikwa ule kwa kalamu basi utapata.lakini kama iliandikwa uwe mwanaharakati, mpambanaji na mwamba basi utakosa na maisha mengine yataendelea...
Endelea kuwachora watu tu.....
 
🐒🐒🐒
 
Back
Top Bottom