Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,369
- 15,158
Wadogo zangu pamoja na kaka zangu mama yetu raisi wa injii amemwaga ajira wale wenye sifa stahiki ombeni. Usiseme unajaribu bahati yako.
Wewe omba kama iliandikwa ule kwa kalamu basi utapata. Lakini kama iliandikwa uwe mwanaharakati, mpambanaji na mwamba basi utakosa na maisha mengine yataendelea.
Wewe omba kama iliandikwa ule kwa kalamu basi utapata. Lakini kama iliandikwa uwe mwanaharakati, mpambanaji na mwamba basi utakosa na maisha mengine yataendelea.
