haki ya nan yaani ww shukuru mungu nakuheshim ningeku...Bi mkubwa anajua anachokupa huyo mchaga?..usimfiche mwambie hadi staili zinazokudatisha kutoka kwa huyo mchaga hadi miguno yake kitandani...maana inaelekea bi mkubwa anajua ndio kwanza unataka kumtongoza.mweke wazi atakuelewa unachomaanisha maana na wao wamepita hukohuko
Habari wana jf,
J/pili yangu imekuwa mbaya kwa kweli.Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa ila sikuwahi kumtambulisha kwa ndugu yangu yeyote,mpenzi wangu ni Chagga girl,hivyo basi nikaona nimfanyie Suprise ya kiaina bimkubwa nikamtambulishe amjue mkwe wake nikamvutia waya bimkubwa alifurai sana,akaniuliza KABILA GANI?nikamwambia ni MCHAGGA,Daah!!nilichoka kwa kweli namnukuu,"tena ishia hapohapo na kama mko njiani geuza mlipo toka unatuletea mchaga unataka aje ahamishe mali zote kwao,tena sitaki kusikia hizo habari"mwisho wa kumnukuu ila ma bby hakusikia chochote nikavunga kwamba bimkubwa hayupo hom yupo mbali 2kaback at home.Ushaur pliziiiiiiiiii nampenda sana huyu dem na Bimkubwa nampenda kuliko maelezo
msigombane wandugu
mkuu nimesoma uzi wako bahati nzuri au mbaya nimekuja kumtembelea bimkubwa wangu nikamsomea jinsi ulivoandika yeye amenijibu amesema msikilize bimkubwa wako!!!
marriage have got nothing to do with anyone's tribe ,kwani bimkubwa ndo ataishi na huyo yf wako ? Mulize bimkubwa akupe sababu tano za kutomtaka bidada wakichaga kama they sound poa , if you got a good yf marry her no need of worrying bana life its self uncertain only death is certain.
Kwani mna mali kiasi gani?
mama ndo kanizaa,sijui mwenzangu uliyezaliwa na baba
wazazi nao wanahaki ya kusikilizwa.pande za wakina nje ya box 118Hujashikwa vizuri na huyo binti wa kichaga,! Angekukamata vyema wewe ungetia pamba masikioni usisikie lolote mpk umweke ndani. Pole sana kwa kuwa na bi mkubwa wa aina hiyo..kwetu sisi tulijaaliwa kuwa na wazazi wenye kutuskiliza mawazo yetu na kutushauri inapobidi lakini sio kutumia u bi mkubwa kutupangia namba ya kuishi na wenza wetu.
Samahani. .kwani bi mkubwa kabila gani??
wazazi nao wanahaki ya kusikilizwa.pande za wakina nje ya box 18Hujashikwa vizuri na huyo binti wa kichaga,! Angekukamata vyema wewe ungetia pamba masikioni usisikie lolote mpk umweke ndani. Pole sana kwa kuwa na bi mkubwa wa aina hiyo..kwetu sisi tulijaaliwa kuwa na wazazi wenye kutuskiliza mawazo yetu na kutushauri inapobidi lakini sio kutumia u bi mkubwa kutupangia namba ya kuishi na wenza wetu.
Samahani. .kwani bi mkubwa kabila gani??
whatever
ni maamuzi magum ndio maana nataka ushauri ulio boramkuu fanya maamuzi mwenyew coz mke utaenda ishi nae mwenyewe.huyo mchag umekaa nae mwenyew n wew mwenyew ndiy unayemjua na co mama yako..Baadae ucje ukamlaumu m2 bt ujilaumu mwenyew kwa uamuzi wa kumuacha au kuendelea nae mwenyew.No 1 z perfect brother.Ni hayo 2
ni maamuzi magum ndio maana nataka ushauri ulio bora