Mama Kamkataa Mchumba Wangu

Mama Kamkataa Mchumba Wangu

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
810
Habari wana JF

J/pili yangu imekuwa mbaya kwa kweli. Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa ila sikuwahi kumtambulisha kwa ndugu yangu yeyote. Mpenzi wangu ni Chagga girl, hivyo basi nikaona nimfanyie Suprise ya kiaina bimkubwa nikamtambulishe amjue mkwe wake.

Nikampigia simu mama alifurahi sana, akaniuliza kabila gani? nikamwambia ni mchaga, nilichoka kwa kweli namnukuu, tena ishia hapohapo na kama mko njiani geuza mlipo toka unatuletea mchaga unataka aje ahamishe mali zote kwao.

Tena sitaki kusikia hizo habari"mwisho wa kumnukuu ila my baby hakusikia chochote nikavunga kwamba bimkubwa hayupo home yupo mbali.

Ushauri please nampenda sana huyu msichana na mama nampenda kuliko maelezo.
 
mkuu nimesoma uzi wako bahati nzuri au mbaya nimekuja kumtembelea bimkubwa wangu nikamsomea jinsi ulivoandika yeye amenijibu amesema msikilize bimkubwa wako!!!
 
Kama unampenda ivo mama yako mpaka unashindwa kufanya maamuzi, ni bora usiooe.
 
du pole sana hayo hata mm yamenikuta tena me nilikuwa sina mpango Wa kwenda kumtambulisha ila walivyopata tetesi tu kuwa ni chaga beibei niliwekewa bonge la kikaoooo ni balaaa
 
Wewe unaoa mke au kabila? Maneno huumba,subiri utafutiwe mke na mama maana wa kutafuta mwenyewe unashindwa,kama haya maamuzi yanakushnda ni dhahiri bado hujakua kuweza kumiliki mke maana ya ndoa ni balaa zaid,subiri ukue utoke uvulana uwe mwanaume.
 
Wewe unaoa mke au kabila? Maneno huumba,subiri utafutiwe mke na mama maana wa kutafuta mwenyewe unashindwa,kama haya maamuzi yanakushnda ni dhahiri bado hujakua kuweza kumiliki mke maana ya ndoa ni balaa zaid,subiri ukue utoke uvulana uwe mwanaume.
mi nataka ushauri na wala si risala uelewe hilo
 
du pole sana hayo hata mm yamenikuta tena me nilikuwa sina mpango Wa kwenda kumtambulisha ila walivyopata tetesi tu kuwa ni chaga beibei niliwekewa bonge la kikaoooo ni balaaa
kaka mimi hadi kichwa kinauma hata sielewi nifanyeje
 
mkuu nimesoma uzi wako bahati nzuri au mbaya nimekuja kumtembelea bimkubwa wangu nikamsomea jinsi ulivoandika yeye amenijibu amesema msikilize bimkubwa wako!!!
nimekusoma mkuu
 
Back
Top Bottom