Mama Janeth Magufulia ampiku Regina Lowassa

Mama Janeth Magufulia ampiku Regina Lowassa

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
12096533_1333552299992518_1415727088502325605_n.jpg


Mama Janeth Magufuli ndie the next First Lady.
 
Ndio Maana Anaitwa Mr Chini. Leo Yupo Zamu. Wanatekenyana.
 
Aag! Mr. Chin tena! Huyo mama Janet anamuogopa Mr. POMBE kama gaidi vile
 
Hakuna kitu kwa mama mapadlock hata tabasamu tu ni lakulazimisha yaani
 
kuwa specific anampiku nini, umri, watoto, weupe, weusi, ukubwa wa titi, idadi ya meno au idadi ya watoto
Anyway Mods rudisheni heshima ya jamiiforums kama kipindi cha 2010 wakati tunajiunga, hawa watu wanaoshinda wanapost u.pupu kila dakika mnawaacha na kuacha thread zao mnashusha hadhi ya jamii forums, zamani kila aliyekuwa na acess ya mtandao alikuwa ni mtu anayejitambua, tangu kuwepo kwa vifurushi vya kifalasi falasi, kichuochuo pumba zinazidi jukwaani.

mods mpe huyu kiumbe Baan arudi baada ya uchaguzi
 
Kwa Mara ya kwanza naona picha ya mama magufuli akitabasamu duu ni nadra Sana Kama kukuta bikra wodi ya wazazi
 
Huyu Jane atakua anachezea vitasa kinyama basi tuu hataki kufunguka.
 
Naona umetumwa
wax siyo tu ametumwa anatumika vibaya kama condom..uu.Naona anawasiwasi na kupoteza kazi ya kuandaa chai pale Lumumba.Sura huyu mama utafikiri wale wenye tender za kulia misibani
 
Last edited by a moderator:
Mie naona kuna mmoja hapo amekaa pozi kama anapiga picha za "passport size" na kama anachekelea kupigwa picha
na kuna mwingine amekaa pozi la kushusha nondo nzitotena zenye mantiki kwa watanzania
wa leo na kizazi kijacho.
Ila sijawa wataja kwa majina. picha zina zungumza.

12096533_1333552299992518_1415727088502325605_n.jpg


Mama Janeth Magufuli ndie the next First Lady.
 
Bora ungesema totoz ya kebbys hotel,sii mama Janeth
Mr Chin
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na akili na uwezo wa kutumia akili ni mambo mawili tofauti...

Mtu anaandika fulani kampiku fulani lakini haweki bayana utofauti wa huo umaridadi...
 
Kuwa na akili na uwezo wa kutumia akili ni mambo mawili tofauti...

Mtu anaandika fulani kampiku fulani lakini haweki bayana utofauti wa huo umaridadi...

Ni kweli kabisa Mtu.
 
Hata wakiwekwa waongee hakuna Firstlady ataemzidi Regina Lowasa kuongea mambi muhimu
 
Aise we ni fara !!! Sijuhi unaandika nini huku


QUOTE=Mr Chin;14191039]
12096533_1333552299992518_1415727088502325605_n.jpg


Mama Janeth Magufuli ndie the next First Lady.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom