Mama Janeth Magufulia ampiku Regina Lowassa

Mama Janeth Magufulia ampiku Regina Lowassa

Tuwekee picha mama Janeth ana mu hug mume wake-ukiiweka mimi nakupa bikra yangu

Ndo maana mnaitwa ma mbumbumbu kichwani hamna kitu. sasa we kwa akili yako ndogo ki-hug ndo mapenzi? km ndo hivo jiandae kuzalishwa watoto 200
 
12096533_1333552299992518_1415727088502325605_n.jpg


Mama Janeth Magufuli ndie the next First Lady.

Hujakosea uko sawa kabisaaaa!! huyo mbibi acha aendelee kuzurula zurula na kuhaha km mzee wake huyo na mvi zake, but kuingili ikulu tc impossible. wenye u-first lady wao wanaendelea na majukumu mengine ya kulijenga taifa letu
 
Hana mpango na huo ufirst lady!
 

Attachments

  • 1443824034028.jpg
    1443824034028.jpg
    22.9 KB · Views: 672
Ndo maana mnaitwa ma mbumbumbu kichwani hamna kitu. sasa we kwa akili yako ndogo ki-hug ndo mapenzi? km ndo hivo jiandae kuzalishwa watoto 200
wewe tatizo lako ni huna uwezo wa kutazama the bigger picture,una conclude mambo ki layman-sioni ajabu cause huyu magufuli kawa plucked from nowhere hence humjui kabisa
 
Unamaanisha kuwa 'K' ya mama magufuli ni kubwa sana ndio maana kampiku au? maana waonekana wamjua sana huyu mama kuliko mumewe
 
Naomba namba ya huyo mama janeth.
Hizo dimpoz mi hoi.
 
ndugu mbona mnakua mnaelewa alafu unajifanya amuelewi hivi haki ikitendeka magufuli atashnda uchaguzi kweli ndo maana sema huyo regina kwa haki kwel anafaa kama ikiwa ya ccm wakiiba kwel mke wa magufuli ana faa
 
Hivi Mnataka Kuwapotosha Watanzania!! Wkt Tunajua Mgombea Wenu Ni MSELA Tu! Huyo MKE Kila Mtu Ana Maisha Yake!!
 
Jitu linaitwa chin unategemea nn km so akili za mizimu?
 
wewe tatizo lako ni huna uwezo wa kutazama the bigger picture,una conclude mambo ki layman-sioni ajabu cause huyu magufuli kawa plucked from nowhere hence humjui kabisa

Wewe unamjua vizuri sio? nakucheka kwa dhalau hahahahahhahahah...... mbumbumbu wewe..
 
Ndo maana mnaitwa ma mbumbumbu kichwani hamna kitu. sasa we kwa akili yako ndogo ki-hug ndo mapenzi? km ndo hivo jiandae kuzalishwa watoto 200

Read between the lines, jackeline ametumia ajili kubwa kufikisha Ujumbe, mbwiga wa mbwiguke kama wewe huwezi kumuelewa!! Sana Sana utaishia kutukana tu kama ulivyofanya hapa! Bs
 
Umekuuma hadi umepanic? duh poleee....yako nani yako huyo jackline zerooooo......?
 
Rejina ni type nyngine huyu mama ni type za akina salma ila sio regina.

Makamanda dondoshen hapa pic za greatest first lady regina
 
Back
Top Bottom