Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,299
Mkuu, kwa hii life expectancy ya kibongo na namna vijana tunakufa siku hizi, umfatilie mwanamke wako / kumbana si utakufa tu mapema? Aisee kama bible ilivoshauri, tuishi nao kwa akili tu ila mengine ni kujitakia maradhi ya uzeeni ktk umri mdogo ama kufa tujuzi tuliendaa kwenye msibaa, sasa ikawa kuwa ndugu zangu hatujakutana kitambo, tukaendaa mahali kunywa pombe, but kati ya hao dada zangu, wamekujaa na marafiki zao walio olewaa, tukalewaa wee hadi saaa sabaa usiku, kuna dada moja mojaa alilewaa sasa nikarushaaa ndoano kanasa huwezi nikala mzigo .... but baadaye kapigiwa simu na mume akawa hakupoke, asubuhi ndo kaniambiaa kwambwaa kaolewa
Take home tips: Mwanamke yeyote anayekunywaa pombe usimwamini kugawa urodaa ni very simpe, just imagine huyu dada sijawahi kumwonaa ni pale kulipiaa pombe tu ndo mtu naliwa
wanawake sio watu wa kuwaachiaa achiaa mbane kidogo
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app