Kuhusu elimu kwa upande wetu. Watu wamesoma sana, wamefika vyuo vikuu. Ila kwa upande wa mwanamke hawaja fika ngazi za juu kielimu.bado hujajibu swali la elimu na uwezo wa familia zenu mbili kiuchumi....nisaidie jibu tafadhali.
Ndoa ni yenu wawili,mzazi hutoa ushauri tu na sio kuiingilia labda kutokee tatizo kubwa.Nitafanya hivyo ndugu.
Msimamo wa baba hana noma kabisa. Nilishawahi kumwambia na akasema tu niwe makini. Lakini mama ndio amekuwa kikwazo?
Ndio braza.... asante kwa ushauri.Ndoa ni yenu wawili,mzazi hutoa ushauri tu na sio kuiingilia labda kutokee tatizo kubwa.
Kuhusu elimu kwa upande wetu. Watu wamesoma sana, wamefika vyuo vikuu. Ila kwa upande wa mwanamke hawaja fika ngazi za juu kielimu.
Na kiuchumi kwa familia yetu , uchumi ni level ua kati.. nikimaanisha si matajiri sana.
Kwa upande wa mwanamke uchumi wao si mzuri.. ni watu wa hali ya chini kias fulani.
Secondary.. form 4elimu ya mchumba wako ni level gani? sorry kwa maswali yangu ya kipolisi..am trying to dig out the root for your problem
mimi ndie wakiume.. na ni wa kwanza.
- nyumbani mimi ndie wa kwanza
-nyumbani tumezaliwa watatu, wakiume wawili ,wakike mmoja
mama yako anajua hilo...kuwa mpenzi wako ni form 4 na pia family yake hawako kiviiile kiuchumi?...frankly speaking ulivyokwepa kulijibu hili swali langu mwanzoni kabisa nilihisi ulikuwa umemaanisha na makusudi kabisa.....HAPA NDIO NAPOUONA MZIZI WA TATIZO NA PIA NAONA TATIZO LIPO KWENYE KABILA LA MPENZI WAKO....kuwa muwazi katuka swali hili nikupe mbinu za kutok kwenye tatizo hili. je mama anajua mkeo mtarajiwa ni form four?Secondary.. form 4
Anafahamu fika.. nilishawahi kumwelezamama yako anajua hilo...kuwa mpenzi wako ni form 4 na pia family yake hawako kiviiile kiuchumi?...frankly speaking ulivyokwepa kulijibu hili swali langu mwanzoni kabisa nilihisi ulikuwa umemaanisha na makusudi kabisa.....HAPA NDIO NAPOUONA MZIZI WA TATIZO NA PIA NAONA TATIZO LIPO KWENYE KABILA LA MPENZI WAKO....kuwa muwazi katuka swali hili nikupe mbinu za kutok kwenye tatizo hili. je mama anajua mkeo mtarajiwa ni form four?
Kazi ipoHahaha nawaza tu kama mama wa kichagga..
Binti:
22
Mkurya
Form IV
kwao sio vizuri kiviile kiuchumi.
well...
Kazi ipo
HapanaHuyo binti kwenye ukoo wao kuna historia ya kuwa na matatizo ya kifafa, ukoma, sikoseli, uchawi au alibino?
Hilo swali gumu kwakweli.. nijibu tu kwa ufupi kuwa ni mchakarikaj.. mtu wa kujituma sana kwenye maisha...Ana sifa gani ya ziada ambayo inaweza kumfanya mama wa Kichagga ampende???
Sawa namuheshimu... but she is human too. kama wanadam wengine kuna makosa ya hapa na pale.. sisemi kuwa yuko right au yuko wrong but kwa nn nikihitaji majib huwa ananikwepa au kumumunya maneno?Mama akishakataa whether awe na reason or not hakuna ndoa hapo.....move on bro no way out sana sana utajisababishia matatizo2 huwezi kushindana na MTU aliekuleta duniani....Mama ndio ngao ya maisha yetu....
Sawa.. lakini kwanini?Ulivyo taja kabila la huyo mpenzi wako nipo tayari kusimama upande wa Mama yako!
Nipo tayari kumsupport Mama yako hata mkifunga ndoa kwa nguvu itakuwa batili!
Hahaha nawaza tu kama mama wa kichagga..
Binti:
22
Mkurya
Form IV
kwao sio vizuri kiviile kiuchumi.
well...