DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mke wa Rais wa Kwanza wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Abeid Karume, Mama Fatma Karume amesema amepokea kwa mshtuko taarifa ya mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan Juni 23, 2025, hususan kuondolewa Paul Makonda kama Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Akizungumza leo Juni 24, 2025 katika Jukwaa la Wanawake lililofanyika jijini Arusha, Fatma amesema;
“Nilishtuka sana… mmh basi, lakini mwanasiasa ni mwanasiasa tu. Nikapata habari nikawaambia nikakumbuka pia, hayo yapo… lakini nataka niseme neno moja, sijui ni siri? (akiimba) Tunae na Makonda tunae mkoa huu… na koti tutamvika… tutampeleka kwingine atusemee mkoa huu,” amesema huku ukumbini washiriki wakiangua vicheko.
Soma,pia: Mama Fatma Karume amtembelea RC Makonda, aongoza dua nzito kumuombea kheri
Chanzo: Mwananchi
Akizungumza leo Juni 24, 2025 katika Jukwaa la Wanawake lililofanyika jijini Arusha, Fatma amesema;
“Nilishtuka sana… mmh basi, lakini mwanasiasa ni mwanasiasa tu. Nikapata habari nikawaambia nikakumbuka pia, hayo yapo… lakini nataka niseme neno moja, sijui ni siri? (akiimba) Tunae na Makonda tunae mkoa huu… na koti tutamvika… tutampeleka kwingine atusemee mkoa huu,” amesema huku ukumbini washiriki wakiangua vicheko.
Soma,pia: Mama Fatma Karume amtembelea RC Makonda, aongoza dua nzito kumuombea kheri
Chanzo: Mwananchi