Mwanzo ni Mwisho
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 4,394
- 10,836
gwajima si alikuwa anafufua watu.
ushauri; tufanye maombi ya kumrudisha jiwe chini ya usimamizi wa gwajiboy
ushauri; tufanye maombi ya kumrudisha jiwe chini ya usimamizi wa gwajiboy
kweli tupu, amebadilika kawa mzigo kwa wananchi. yaani baadhi ya mizigo tuliyobebeshwa, ni gharana za Maisha kupanda most likely kupitia deals zao, kunyimwa Katiba, mama mwenyewe plus other hopelessnesses we are witnessing.Binafsi sikuwahi kuwa shabiki wa utawala wa MWENDAZAKE hususani kwa namna alivyokuwa akitumia nguvu kubwa kuwadhibiti wapinzani wake wa kisiasa lakini upande wa sera za kimaendeleo na uongozi kwa ujumla nadiriki kusema alikuwa chuma tena mwamba kweli kweli..ila kwa huu muda mfupi wa utawala wa mama yangu huyu niwazi taifa langu linapitia kipindi kizito sana sijui nyie wakuu magwiji wa siasa na uongozi mnalionaje hili??mama viatu vimekuwa vikubwa? au apewe muda zaidi baada ya 2025?
Unataka kusema like father like daughterwatu wa pwani hawawezi uongozi.
rejea historia ya marais

Halafu nilichogundua huyu maza anamajibu rahisi kwenye masuala mazito yaani ni kama hekaya za bunuazi na holelaholelaSubirini sasa mazeli awatengenezee...mtajua hamjui
Yaani mzee Samia mborongaji badala ya kutupa hope on what she can do to solve these problems instead tunaambiwa na bado as if kuna kosa tumefanya and we are paying for the mistakes.Unapomwita Rais Samia Suluhu Hassan garasa unamaanisha nini? Au alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza hamkujua maana yake?
Au Ulitaka itokee chadema halafu Salum Mwalimu ndio awe ikulu leo? Au wapinzani mlipokua mnachagua mgombea mwenza hamkuijua katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Kati ya vitu vinaifanya CCM iendelee kuwa bora ni upinzani kuendelea kuwa dhaifu, kulialia, kudeka na kudemka

.Ana uelewa mdogo juu ya hayo masuala, ilikuwa ni busara baada ya mwaka mmoja madarakani aachie ngazi, kiti cha urais amuachie mtu ambaye ana uelewa mzuri wa kuongoza nchi.Halafu nilichogundua huyu maza anamajibu rahisi kwenye masuala mazito yaani ni kama hekaya za bunuazi na holelaholela