mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 20,455
- 36,446
Tatizo ya katiba hii inaruhusu magarasa kuingia ikulu ya JMTZ. Ndani ya miaka sita hili ni garasa la pili.
Unapomwita Rais Samia Suluhu Hassan garasa unamaanisha nini? Au alipoteuliwa kuwa mgombea mwenza hamkujua maana yake?
Au Ulitaka itokee chadema halafu Salum Mwalimu ndio awe ikulu leo? Au wapinzani mlipokua mnachagua mgombea mwenza hamkuijua katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania?
Kati ya vitu vinaifanya CCM iendelee kuwa bora ni upinzani kuendelea kuwa dhaifu, kulialia, kudeka na kudemka

