idmi Huyu Ni Mtu Mmoja.,,ametumwa Kushindana Na Jf
sasa Kwa Nguvu Za Mwenyezi Mungu Nilizopewa Nakuamuru Pepo Mchafu Uliemwingia Mtimti Toka Kwa Jina La Yesu Akapate Kuona Mbali,,jamani Sie Yeye Huyu Mnashindana Na Nguvu Za Giza,,
tuzidi Kupiga Maombi Wale Wachungaji Member Wa Jf Shusheni Maombi
mitomingi Iwe Michache ,,mtimti Uwe Majimaji....
kwa Ushauri Tu Kua Makini Na Thread Zako Zinaweza Kukukosesha Baraka Na Amani,,katika Maisha Yako,,ona Kila Mmoja Pembezoni Mwa Dunia Yuko Against Na Mada Yako.......jitahidi Mistari Mwana
wenu
dunia Ya Leo