Tumekwisha hata huyu naye yumo? This is within one year? Mpaka atoke si atakuwa ameaanzisha shirika la ndege au hata benki? Ninavyofaham mimi yuotong moja is not less than million mia moja na arobain 140,000,000/= kwa hiyo ukizidisha mara 8 yaani 140,000,000*8=1,120,000,000/= yaani bilion moja na milioni mia moja na ishirini na sasa ana mwaka mmoja tu kazini inamaana kila mwezi amesave milioni 93 point something kwa ajiri ya kununua haya mabasi. Swali ni je analipwa shilingi ngapi? Au kama ameyakopa amepata wapi security ya kumuwezesha kukopa mali zote hizo wakati sisi huku mtaani hata ukitaka kukopa milion kumi tu unaambiwa lete hati ya nyumba na wakiithaminisha watakwambia thamani yake ni milion 6! Help us God
Kitu mnachoshindwa kuelewa ni kuwa anadhaminika. Na hayo mabasi ukidhaminika hata wewe unapewa.
Tatizo ni nini? Makinda amekuwa mtumishi wa umma kwa muda gani? Hivi kwa level ya kipato cha makinda kwa miaka yote hii angeshindwa kuwa na bilion kadhaa? Acheni wivu nyie.
Mhhhh !!!! nashindwa kuwatofautisheni na maisha ya familia ya mtu mwenye zaidi ya mke mmoja (wake wenza) kwani kutoka kwa mleta mada mpaka kwa wachangiaji spati picha kama issue ni youtong ama usipika. Nadhani ingekuwa vema kumjadili mtu kwa msingi wa namna aliopatia mali ktk maana ya uhalali wa mali pasipo kuwa bias. leo hii sote tunafahamu maslahi makubwa wakuu wetu walivyojilimbikizia kwa kulinganisha na yale ya kima cha chini, hivi kama tu mbunge ana net pay ya 7.5m/= spika ana ngapi?.
Kitu mnachoshindwa kuelewa ni kuwa anadhaminika. Na hayo mabasi ukidhaminika hata wewe unapewa.
Tatizo ni nini? Makinda amekuwa mtumishi wa umma kwa muda gani? Hivi kwa level ya kipato cha makinda kwa miaka yote hii angeshindwa kuwa na bilion kadhaa? Acheni wivu nyie.
Kama ni hivyo naye ni Fisadi kama walivyo mafisadi wengine.
ulikuwa unataka mshahara wake aupeleke jimboni kwake. Acha ushabiki usio na maana.
Ngoja nifanye makeke ya kumbandika mimba, mwanangu naye ale neema ya nchi
mwishowe yanakuja kuwa kama ilivyokuw scandinavian express, aibu tupu
mi ntam2humu kwa kutumia kampun nyngne,ni 1 ya mbinu ya kuficha ma0vu
Kitu mnachoshindwa kuelewa ni kuwa anadhaminika. Na hayo mabasi ukidhaminika hata wewe unapewa.
Kama ni hivyo naye ni Fisadi kama walivyo mafisadi wengine.