PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,724
Wakuu, tuko kwenye sherehe mahali isiyo na kilevi, maana kuna pia Walokole.
Lakini kumetokea mzozo, maana waandaaji wameweka Kinywaji inaitwa Malta Guiness.KunaWalokole wanaosema kinywaji hiki hakina shida maana hakina kilevi, kundi lingine wamegoma hata kuingia hapo ukumbini wakidai kinywaji hicho kinatengenezwa na mitambo ileile inayotengeneza Bia, kwahiyo hi haramu.
Embu wanaJF, tuwekenni sawa hii mambo!
Lakini kumetokea mzozo, maana waandaaji wameweka Kinywaji inaitwa Malta Guiness.KunaWalokole wanaosema kinywaji hiki hakina shida maana hakina kilevi, kundi lingine wamegoma hata kuingia hapo ukumbini wakidai kinywaji hicho kinatengenezwa na mitambo ileile inayotengeneza Bia, kwahiyo hi haramu.
Embu wanaJF, tuwekenni sawa hii mambo!