yanga bwana
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 300
- 47
Nakumbuka Jeshi la Polisi lilipiga marufuku wananchi kupelekwa kwenye mikutano ya kisiasa kwa kutumia malori .Cha ajabu idadi kubwa ya malori yamekuwa yakibeba Na kushusha watu maeneo ya jangwani kwenye uzinduzi Wa kampeni za CCM ili kujaza watu.Ushauri kwa Jeshi la Polisi kama CCM wameruhusiwa basis vyama vyote navyo viruhusiwe hatutaki tena Polisi wetu mwanze visa.