MJIMPYA
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 506
- 273
Nilinunua pakiti ya gm1 ya malikia na kuipanda mwaka jana. Mipapai imeanza kuzaa ila cha kushangaza ni kuwa matunda ni tofauti.
Mbegu ya malkia imechorwa papai lefu nami nilitegemea matunda yatoke hivyo. Mengi ya matunda yametoka yale mafupi na miti michache imetoa yale marefu.
Najua kuna wakala wao anajiita africasia ndo anaagiza kwa wingi na kupaki. Katika kupaki anachanganya na mbegu nyingine. Huu ni wizi mkubwa na ubabaishaji. Kwa nini mnafanya hivo?
Mbegu ya malkia imechorwa papai lefu nami nilitegemea matunda yatoke hivyo. Mengi ya matunda yametoka yale mafupi na miti michache imetoa yale marefu.
Najua kuna wakala wao anajiita africasia ndo anaagiza kwa wingi na kupaki. Katika kupaki anachanganya na mbegu nyingine. Huu ni wizi mkubwa na ubabaishaji. Kwa nini mnafanya hivo?