Malipo ya wema wangu

Mkuu malizia story achana na wanaosema hii Ni chai ufafanuzi ulio utoa kwa wanaodai ni chai umejitosheleza na strory hii mm naamin ni ya kweli
 
Ahahahah.Umenikumbusha mbali sana.Akina mama wa zaman walikua na maarifa mengi sana.
Hapo majani ya chai yameisha basi inakaangwa sukari kidogo.
Ahahahahahah
Mpka sasa hivi ndugu inafanyika.mwezi uliopita nilienda mtembelea ndgu yangu mashambani huko nikakaanga sukari 😅😅😅fresh yan🤣🤣
 

Alihisi umechoropoa

Ha ha ha ha
 
Mpka sasa hivi ndugu inafanyika.mwezi uliopita nilienda mtembelea ndgu yangu mashambani huko nikakaanga sukari 😅😅😅fresh yan🤣🤣
Ahahaha..Na bila shaka ikakuboa chai ndio maana umeitaja hapa kwa kuipondea.Ahahahah.Ofcz huwa ina ka taste flan boring pamoja na harufu yake
 
Ahahaha..Na bila shaka ikakuboa chai ndio maana umeitaja hapa kwa kuipondea.Ahahahah.Ofcz huwa ina ka taste flan boring pamoja na harufu yake
Siwezi kuiponda,sijawahi kuiponda na sitoiponda aise...nimeitumia kichizi sitimbi huko miaka hiiiyooo.
😅😅😅😅vijana wa mjini hawaelewi hii volcano🤪🤪
 
mkuu una kumbukumbu balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…