NG'WENEKELE
Member
- Mar 7, 2011
- 14
- 0
Hivi kwani Serikali ina mpango gani wa kuwalipa makarani wa Sensa salio lao baada ya kazi?Tumekubali kufanya siku saba za kizalendo sasa pesa iliyobaki inakuwaje?Sio usanii na uzembe uliosemwa na Mnyika huu?Tunaelekea kuchoka kusubiri.