Malipo ya pensheni mwezi Agosti 2018

Malipo ya pensheni mwezi Agosti 2018

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,523
Mimi mmoja wa Wastaafu na nimekuwa nikipata pensheni yangu kuanzia tarehe 28 kila mwezi lakini kwa mwezi huu imekuwa ni tofauti kabisa. Mpaka sasa sijajulishwa kupitia sms inayoniarifu toka NMB kuwa pensheni yangu tayari imeingizwa kwenye akaunti yangu. Sisi Wastaafu pensheni ndiyo tegemeo letu mnapotucheleweshea tunapata matatizo za kimaisha.
 
Samahani sana Wana Jamiiforums nilikuwa na maana ya Pensheni ya mwezi Julai,2018.
 
Katika vitu ninavyomsifu Magufuli ni malipo ya pensheni. Wastaafu ninaowajua wan alipewa bila usumbufu.
 
Mh mbona kuna Mzee wangu mmoja hivi tangu 2015 anahangaika kupata hadi leo.
Imekuwaje? Mimi wakwangu ameongezewa sasa anapata laki moja wakati zamani za kale alikuwa anacheza kwenye 40,000
 
Yupo mwingine namfahamu amestaafu Januari 2017 hajalipwa mafao yake.
 
Wengi tu waliostaafu mwaka jana hawajalipwa mafao hadi leo!
 
  • Thanks
Reactions: smh
Katika vitu ninavyomsifu Magufuli ni malipo ya pensheni. Wastaafu ninaowajua wan alipewa bila usumbufu.
Dada kuna wastaafu wengi wa mwaka jana hawajalipwa hadi leo wanasaga rumba, kumbe siku ukipata ka u DC dada yetu ndo hivyo tena!
 
Mimi mmoja wa Wastaafu na nimekuwa nikipata pensheni yangu kuanzia tarehe 28 kila mwezi lakini kwa mwezi huu imekuwa ni tofauti kabisa. Mpaka sasa sijajulishwa kupitia sms inayoniarifu toka NMB kuwa pensheni yangu tayari imeingizwa kwenye akaunti yangu. Sisi Wastaafu pensheni ndiyo tegemeo letu mnapotucheleweshea tunapata matatizo za kimaisha.
Uchaguzi ujao usidanganywe na kanga na T-shirt.
 
Duh! Mwezi mmoja tu walalama ivyo..aisee kua mvumilivu
 
Mimi mmoja wa Wastaafu na nimekuwa nikipata pensheni yangu kuanzia tarehe 28 kila mwezi lakini kwa mwezi huu imekuwa ni tofauti kabisa. Mpaka sasa sijajulishwa kupitia sms inayoniarifu toka NMB kuwa pensheni yangu tayari imeingizwa kwenye akaunti yangu. Sisi Wastaafu pensheni ndiyo tegemeo letu mnapotucheleweshea tunapata matatizo za kimaisha.
Mzee tunajenga viwanda pensheni badae
 
Nahisi kutakuwa na tatizo kwenye mifumo ya hii mifuko yetu ya hifadhi,Vuta subira mzee
 
Mimi mmoja wa Wastaafu na nimekuwa nikipata pensheni yangu kuanzia tarehe 28 kila mwezi lakini kwa mwezi huu imekuwa ni tofauti kabisa. Mpaka sasa sijajulishwa kupitia sms inayoniarifu toka NMB kuwa pensheni yangu tayari imeingizwa kwenye akaunti yangu. Sisi Wastaafu pensheni ndiyo tegemeo letu mnapotucheleweshea tunapata matatizo za kimaisha.
Kwanza, shikamoo

Pili, Nadhani unaongelea pension ya July na si ya August

Tatu, vumilia mzee wangu.... Japo wanasema tuseme uchumi unakua
 
Mh mbona kuna Mzee wangu mmoja hivi tangu 2015 anahangaika kupata hadi leo.
Huyo labda km ana tatizo lingine. Pension inalipwa kila mwezi au baada ya miezi 3 kwa mtumishi aliyestaafu na amechangia kwenye mfuko wa Hifadhi ya Jamii aliyokuwa mwanachama kwa miaka 15 au zaidi.
 
Back
Top Bottom