LUWIYA
Senior Member
- Jul 29, 2018
- 151
- 114
Wapo.Kenya au hapahapa TZKatika vitu ninavyomsifu Magufuli ni malipo ya pensheni. Wastaafu ninaowajua wan alipewa bila usumbufu.
Wapo.Kenya au hapahapa TZKatika vitu ninavyomsifu Magufuli ni malipo ya pensheni. Wastaafu ninaowajua wan alipewa bila usumbufu.
Subiri mpaka ustaafu, sasa hivi ni vigumu sana kwako kuelewa. . Mi pesheni ya Julai ndio nimelipwa leo. Kwanini usimsifu Mkurugenzi Mkuu wa mambo ya pensheni. MI nadhani aliyechelewesha pensheni yangu sio JPM.Ni watendaji ktk ilr taasisi.Katika vitu ninavyomsifu Magufuli ni malipo ya pensheni. Wastaafu ninaowajua wan alipewa bila usumbufu.