kopuko
Senior Member
- Oct 24, 2011
- 180
- 58
habari wana JF,tafadhali ningependa kusaidiwa kujua malipo stahiki ya mtu kama muajiri amevunja mkataba,mfano halisi,muajili ame mterminate mwajiriwa kazi ambaye alikuwa akifanya kazi kwa mkataba wa mwaka mwaka bt renewable,je mwajiriwa anapaswa pata stahiki zipi?,,,,nauliza hv mana sample yangu imeambiwa italipwa mshahara wa miezi 3,siku za likizo zilizobaki na nssf alafu basi,,,tafadhali naomba kusaidiwa