Blandes
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 401
- 228
Hakika jana yaliyojiri ktk kufunga pazia ya ligi yanauzunisha sana kwa soka letu, bila kupindisha maneno ktk mechi ya JKT Ruvu na Stand United kuna mambo ya rushwa yatakuwa yanausika kuibeba Stand.
Ushauri wangu kwako rais futa hayo matokeo mechi irudiwe uwanja huru na marefa wapewe adhabu kali
Ushauri wangu kwako rais futa hayo matokeo mechi irudiwe uwanja huru na marefa wapewe adhabu kali