gambi sosomb
Senior Member
- Sep 30, 2013
- 119
- 27
Nadhani ipo haja ukafikiri upya mimi kwa mtazamo wangu huyu wanaemwita chagonja huyu mzee huyu atakuwa anaitendea haki nafasi yake kwani katika matukio kama haya yanapotokea mara nyingi mafanikio yanapatikana kwani hadi sasa katika hayo matukio ambayo umejaribu jaribu kuyaelezea kwasasa si dhani kama kunamachafuko ama matukio ya aina hiyo yakiendelea lakini pia nataka kumwambia mtoa mada hakuna askari Polisi aliyeuawa rudia tena hakuna askari aliyeuawa katika tukio hilo la jaribio la kuvamia kituo.