Manyerere, hakuna siasa kwenye hili jambo.
It is a simple luck of administration in the part of government. Serikali inatakiwa kusimamia sheria, wafugaji wasiingie kwenye mashamba. SIMPLE. Hakuna siasa hapo.
Mkuu, siasa inaingia sana. Utakumbuka kuwa PInda amefuta uamuzi wa Kagasheki kule Loliondo baada ya kuambiwa kuna Wamasai wamepanga kurudisha kadi endapo utaratibu wa matumizi bora ya ardhi ungeendelea kutekelezwa. Kwa wanasiasa wetu, kuahirisha matatizo, au kuvuruga taratibu za kisheria ni jambo la maana na muhimu sana ili kulinda kura zao. Wafugaji wana fedha. Wakati wa uchaguzi wanachanga fedha za udiwani, ubunge nk. Ukiwaondoa leo, ujue fedha za kuhonga kwenye kampeni hutazipata!
we watu wanafariki huko unaona siyo stori ya maana....Mbowe na mwigulu ndiyo story ya mjini brooo