Mali za Bilionea Mrema zauzwa bilioni 2.6 kulipa madeni, yamo mahekalu, familia yadondosha chozi

Wanadai billion 1.3
Wanauza viwanja 16,17,18 19,20,21,22 na 23 na kupata billion 2.65 .
Kwa nini wasitafute viwanja kadhaa vitakavyo leta pesa billion 1.6 wakalipa madeni . Mali zingine wakawaachiwa wana Family.
Familia imejaa wajinga. Pale pale mwendazake alivyokufa wangekaa Kama kitu kimoja na kuendesha biashara za marehemu. Wakachagua each for himself.
Acha ziuzwe. Utakuta wengine si muda mrefu utawaona wanatafuta kazi hapo hapo Kijiji Arusha.
 
Alienunua mali hizo bw. Edmund Koka nna uhakika hakuna anaemfahamu humu. Hivi hawa watu wenye majina makubwa tunaowasikia mbona hua hawajitokezi kwenye ishu kama hizi? 🤣🤣

kuwa na jina kubwa na kumiliki hela ni vitu viwili tofauti...
 
Bora mtu uwekeze kwenye fixed diposit au bond za serikali maana kuendesha kampuni kikwetu kwetu bado sana.JPM alimponda sana abood kwa kufanya godonw kiwanda lakini kiukweli kuendesha kampuni si lele mama.
 
Bora mtu uwekeze kwenye fixed diposit au bond za serikali maana kuendesha kampuni kikwetu kwetu bado sana.JPM alimponda sana abood kwa kufanya godonw kiwanda lakini kiukweli kuendesha kampuni si lele mama.
mkuu msaada kidogo. Tuseme niwekeze kwenye fixed deposit na Government bonds dollars za kimarekani million moja faida nitapata ngapi baada ya mwaka?
 
Wanadai billion 1.3
Wanauza viwanja 16,17,18 19,20,21,22 na 23 na kupata billion 2.65 .
Kwa nini wasitafute viwanja kadhaa vitakavyo leta pesa billion 1.6 wakalipa madeni . Mali zingine wakawaachiwa wana Family.
Vinafuatana hivyo viwanja. Mtu anataka eneo lote.
 
Wanadai billion 1.3

Wanauza viwanja 16,17,18 19,20,21,22 na 23 na kupata billion 2.65

Kwa nini wasitafute viwanja kadhaa vitakavyo leta pesa billion 1.6 wakalipa madeni Mali zingine wakawaachiwa wana Family.
Hilo eneo ni eka 2 ndio linaviwanja hivyo,mimi pia nashangaa kuna mali nyingi wanazo pembeni ya mjini wangeuza na kupata hizo pesa
 
Nadhani sisi waafrika tujifunze jambo. Tuandae mfumo wa kuendeleza biashara hata baada ya waanzilishi kufariki. Kwanini makampuni ya wazungu, waarabu, wahindi yanasonga mbele baada ya mmiliki kufa lakini kwetu imekuwa mtihani?
Yaani mmiliki akufariki ni ugomvi mwanzo mwisho wakigombea kugawana mali na sio kuendeleza.
Hili deni iwapo wangeamua kutulia na kuwa na mpango wa kulilipa wangeweza ila ndio hivyo wote walikuwa wanawaza kuchuma tu na kuweka kwenye mifuko binafsi. Sisi ni wabinafsi sana.
Hili lilitaka kutokea kwa Mengi pia.
 
Back
Top Bottom