Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,651
- 5,989
Sasa utanitafuta lini? Mi huko kwenu nina mashamba nalima. Nimeuvuna mpunga wa kutosha ending season.Hahaahah sawa
Sasa utanitafuta lini? Mi huko kwenu nina mashamba nalima. Nimeuvuna mpunga wa kutosha ending season.Hahaahah sawa
Hiyo ya kususa nilishawahi fanya hivyo,Maza alinipa kipigo cha hatari na Mzee alivyorudi akapewa taarifa na yeye akanipa kisago heavy na usiku nikambiwa si umesusa sasa hakuna kula kalale,we tokea siku iyo sijawahi jaribu fanya huo ujinga tenaHahahahahaha hongera kwa maza ako
Nakumbuka bi mkubwa ilikuwa akipika kitu sikipendi nikisusa tu kosaaa nachezea kipigo nakalishwa kwenye sahani na lazima Nile,,,,, ila Nampa pongezi sababu mpaka sasa hakuna mwenye jeuri ya kuinua bakuli lake kumjibu bi mkubwa akiongea na tena tukimvuruga kama tupo karibu nae vibao tunachapwa
Wapi huko rufiji au?Sasa utanitafuta lini? Mi huko kwenu nina mashamba nalima. Nimeuvuna mpunga wa kutosha ending season.
Yeah huko hukoWapi huko rufiji au?
Ooh okay vizuriYeah huko huko
Umenikumbusha home tulikuwa tunakaa na mtoto wa ma mkubwa... Kipindi ye yupo la saba mimi la tano.. Basi baba akatununulia mabegi ya shule, mie bwana nikaanza kulia langu baya sista yule wamempendelea lake zuri, Maza akaniangaliaaa kisha akakausha tu, wakapika mchana wakala na jioni nikanyimwa tena chakula.. Hiyo siku nilikula kikeki kimoja tu usiku, toka siku hiyo tukinunuliwa vitu silalamiki... Yaani ni unakomeshwaHiyo ya kususa nilishawahi fanya hivyo,Maza alinipa kipigo cha hatari na Mzee alivyorudi akapewa taarifa na yeye akanipa kisago heavy na usiku nikambiwa si umesusa sasa hakuna kula kalale,we tokea siku iyo sijawahi jaribu fanya huo ujinga tena
Kivipi?Mtoto wa kike akikosa malezi ya baba hawezi kuwa sawa
Kwa hiyo ndo hutaki kunitafuta?Ooh okay vizuri
JamaniKwa hiyo ndo hutaki kunitafuta?
Jamani nini, hebu fanya kweli.Jamani
Ngoja niendeJamani nini, hebu fanya kweli.
ni balaa, huyo alikua kama mjeshi aisee. Ila kuna wakati mzazi usipokua kama mjeshi basi watoto ni lazima wakusumbue na waharibike aisee.Kabisa ukiwa unafanywa vile unaona anakuonea
... Kuna tabia maza alikuwa nayo ukimuaga unaenda sehemu ukachelewa kurudi anasubiri saa moja usiku Ile anakufukuza nyumbani na lazima uondoke.... Basi nilikuwa nakaa na dadangu wa ma mkubwa... Alikuwa anatutimua saa moja usiku tunaanza safari ya kwenda kwa Bibi yetu hapo ni mwendo wa lisaa... Njiani napita nalia tu mpaka nafika yaani kama nakaa na mama wa kambo vile kumbe mama mzazi.... Tukifika kwa Bibi tunakaa siku mbili baba anatufuata tunarudi nyumbani
Duh, ni hatari sana hiinakumbuka kuna mama mmoja alinipa mtoto wake nimpakate yeye akawa amesimama mbele yetu mtoto akaanza kumshika kalio mi nikamtoa mkono wake haraka kakaniangalia kwa hasira akarudisha mkono pale huku anapapasa kabisa yule mama akageuka akamuangalia mtoto wake halafu akageuka mbele huku mtoto akiendelea kuchezea tako la mama yake mmama wa pembeni yangu ndo akaanza kujibizana na yule mmama ikawa gumzo kwenye gari watu wote kimya kusikiliza ugomvi
Mi nikamuweka mtoto kwenye siti niliyokaa nikashuka tu kituo kilichofuata