Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
hapana jamani. Huko anataka akamfurahishe mtoto, kuanza kukumbushia kesi za nyumbani kutaharibu lengo zima la mtoko.Mkuu mpeleke huko kwenye ahadi yake, na utumie huo muda mkiwa huko kumwambia.
Halafu anataka awapeleke na rafiki zake. Haitokuwa vizuri kuongelea hayo mambo ya kifamilia mbele ya rafiki zake.