Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Imefika steji wazazi wengine hawajui hata kwanini walizaa, lengo lilikuwa ni starehe tu mara anatokea mtoto. , yani hata ndege naona wanatuzidi akili maana wao huhakikisha wamejenga kiota na kutunza chakula ndio wanapoamua kuzaliana ili watoto wasipate shida.
Sasa huku imeonekana kama watoto wamezaliwa kwa hitilafu za kondom kupasuka maana wazazi wengi wamegeuza kuhangaika kwao kuwa lawama kuu kwa kosa hata dogo akifanya mtoto, unakuta ntoto karudi nyumbani hana hata kosa anaomba hela ya shati jipya la shuleni mzazi anaanza kulalamika "anahangaika ama kufanya kazi sana kumtunza" na hiki kisingizio kinatumika kwenye kutoa adhabu.
Mi nadhani hakuna umuhimu wa kulalamika unahangaika kiasi gani ama kufanya kazi kiasi gani kumtunza mtoto wako, Ni wajibu kumtunza mtoto wako
Sasa huku imeonekana kama watoto wamezaliwa kwa hitilafu za kondom kupasuka maana wazazi wengi wamegeuza kuhangaika kwao kuwa lawama kuu kwa kosa hata dogo akifanya mtoto, unakuta ntoto karudi nyumbani hana hata kosa anaomba hela ya shati jipya la shuleni mzazi anaanza kulalamika "anahangaika ama kufanya kazi sana kumtunza" na hiki kisingizio kinatumika kwenye kutoa adhabu.
Mi nadhani hakuna umuhimu wa kulalamika unahangaika kiasi gani ama kufanya kazi kiasi gani kumtunza mtoto wako, Ni wajibu kumtunza mtoto wako