Hahahhaa wala, inabidi uwe mpole tuMm ningebadlshana na portello katon kwa hako katoto
Hahahhaa wala, inabidi uwe mpole tuMm ningebadlshana na portello katon kwa hako katoto
Kuna muda huwa anachukua simu yangu anakoment humu dah aisee ...Hahahhaa wala, inabidi uwe mpole tu
Nauna unamkomesha dgo aschek katuniii ...Me mpaka leo sina tv wala smart phone,binti kaachwa sebuleni anafurahiya katoon akapanda kameza ka tv sijui alitaka kuingia?? Tv ikashuka nzimaaa na simu vyote chali,jioni nimefika nazima gari tu haka hapa nimekabeba kuingia ndani woote wamenuna kuuliza nikaoneshwa majanga,nime zila sinunui mpaka mwaka uishe dadeq
Mie niliikuta simu iko ndani ya maji alafu yeye kafurahi anacheka kama kafanya jambo la kishujaa!!Mpaka leo naikumbuka laptop yangu ilivyoogeshwa soda ya fanta bila kupewa taulo.
Haswaa hlf huwa tunasahau kuwa hilo suala la kuharibu hata baba au mama anaweza kuharibu kitu.Kibongo bongo hatuwezi kukuelewa, ukizingatia stress za vyuma kukaza ndio basi tena atashushiwa kipondo haswa.
Kuna umuhimu sana akina mama tukawa na somo la saikolojia kama major ktk masomo tusomayo.
Hahahaaaa!!Nilivunjiwa meza ya kioo ikiwa na siku mbili tu tangu nimeinunua. Niko chumbani nimejilaza mara nikasikia vioo vinamwagika chini, kutoka nakuta kamjamaa kako na jiwe mkononi
Nilivunjiwa meza ya kioo ikiwa na siku mbili tu tangu nimeinunua. Niko chumbani nimejilaza mara nikasikia vioo vinamwagika chini, kutoka nakuta kamjamaa kako na jiwe mkononi
HahaahhaaaNilivunjiwa meza ya kioo ikiwa na siku mbili tu tangu nimeinunua. Niko chumbani nimejilaza mara nikasikia vioo vinamwagika chini, kutoka nakuta kamjamaa kako na jiwe mkononi
Hahhahaha ungeishiwa pozi tu na kuishia kuzoa vioo kupeleka kwenye shimo la taka.
Yaani sijui ningekafanyaje kwakweli
Mwanangu namchapaga na kitana. Ukimchapa ya kwanza anacheka. Ya pili analia ukimuacha ukigeuka tu anarudi kufanya ulichomchapiaMi nadhani ukumchapa kidogo pia atajifunza kuwa kakosea
Hata sisi tunaharibu sanaa, ila sijui kwanini wakiharibu watoto inakuwa ni kosa la jinai!!!Haswaa hlf huwa tunasahau kuwa hilo suala la kuharibu hata baba au mama anaweza kuharibu kitu.
HahaahahaaMie niliikuta simu iko ndani ya maji alafu yeye kafurahi anacheka kama kafanya jambo la kishujaa!!
DaaaaahIla watoto jamani, kuna siku nimehangaika kutafuta chaja ya simu, nilitafuta sana mpk nje kwa majirani labda alitoka nayo lkn bila hlf kenyewe kamelala. Asb pamekucha nakauliza uliona chaja yangu? Eti eeeh. Haya uliweka wapi, kumbe imewekwa kwenye kopo la blue band
Ndio maana mm nilimwambia inategemea na umri wa mtoto, kuna kengine hata ukikapiga ni kazi bure yaan hakaelewi kitu.Mwanangu namchapaga na kitana. Ukimchapa ya kwanza anacheka. Ya pili analia ukimuacha ukigeuka tu anarudi kufanya ulichomchapia
Watoto wanaharibu makusudi. Dada ni Bahati mbaya..Hata sisi tunaharibu sanaa, ila sijui kwanini wakiharibu watoto inakuwa ni kosa la jinai!!!
Na hii huwa tunaihamishia hadi kwa wasichana wa kazi, wapo hadi ambao huwalipisha. Tunasahau kuwa wao wanashika sana hivyo vitu kwa siku hivyo kuvivunja lazima itokee tu.
Ajabu sana yaan na wakati hv ni vitu vya kawaida sana, kwakweli sijawahi kumpiga mwanangu kisa kaharibu kitu zaidi ya kumuelewesha tu.Hata sisi tunaharibu sanaa, ila sijui kwanini wakiharibu watoto inakuwa ni kosa la jinai!!!
Na hii huwa tunaihamishia hadi kwa wasichana wa kazi, wapo hadi ambao huwalipisha. Tunasahau kuwa wao wanashika sana hivyo vitu kwa siku hivyo kuvivunja lazima itokee tu.
Kuchapa mara nyingi huwa inapelekea hasira na chuki, hivyo anarudia ili kukukomesha kwasababu ulimchapa. Hapo unapata funzo kuwa haujatibu kosa. Wakati mwingine anafanya ili kukupima utafanya nini next, watoto wanaakili sana bahati mbaya huwa hatutumii akili kudeal nao.Mwanangu namchapaga na kitana. Ukimchapa ya kwanza anacheka. Ya pili analia ukimuacha ukigeuka tu anarudi kufanya ulichomchapia
Wakati mwingine inakera tu kwanini haelewi. Simu nayotumia sasa hivi button ya kuwashia simu haipo alitupa chini. Jana kaingia kwenye fridge katoa mboga akazimwaga kwenye kochi. MTU kama huyo usimpe hata tufimbo tumoja kweli? Kuna kitu akifanya cha Bahati mbaya wala sikasiriki. Ila makusudi namchapa.Ndio maana mm nilimwambia inategemea na umri wa mtoto, kuna kengine hata ukikapiga ni kazi bure yaan hakaelewi kitu.