Sema Tanzania
JF-Expert Member
- May 18, 2016
- 251
- 465
Watoto ni kama wanasayansi makinda. Toka miezi ya mwanzo kabisa watoto hutaka kujua wanavyoweza kuathiri watu na vitu vinavyowazunguka. Kupanga-pangua vitu, kuangusha au kugonga-gonga vitoe kelele - yote haya huwasaidia kujifunza kuhusu ulimwengu unaowazunguka!
#Malezi