Jumaaofficial
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 250
- 209
Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 elimu yangu kidato cha 4 katika harakati zangu za utafutaji wa pesa nimefanikiwa kuanzisha duka.
Kiukweli mwanzo kipindi naanza hali ilikua ngumu sana kwani mtaji wangu ulikua mdogo, lakini namshukuru Mungu amenisaidia hadi leo biashara yangu imekua kubwa. Nimekua na malengo mengi sana na namuomba Mungu aendelee kunipa baraka zake nifikie malengo yangu hasa kwangu kama kijana nimekua nikitamani vingi sana.
Kuwa na gari nzuri nyumba nzuri nk.
Kuna siku nilikaa nikafikili hivi ni lini nitapa sehemu ya kupata ma-milioni ya pesa jibu nikawa sipati.
[HASHTAG]#nikatumia[/HASHTAG] muda wangu mwingi kusoma vitabu vya ujasiriamali nikagundua, kwamba hakuna alifanikiwa kwa kupata mapesa rundo bali njia ya kufanikiwa ni kujiwekea akiba ambayo itakua the big Point ya kufanikiwa.
Nikaamua kila siku niweke Tsh 20k per day kwa mwezi target yangu iwe 600,000 kama mshahara wangu katika biashara zangu, kwa mwaka milioni 7,200,000. Kwasasa nipo mwezi wa 3 nimefanikiwa kwa asilimia 55% kwa hii imeniongea nguvu zaidi ya kupigana ili nisifeli.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 elimu yangu kidato cha 4 katika harakati zangu za utafutaji wa pesa nimefanikiwa kuanzisha duka.
Kiukweli mwanzo kipindi naanza hali ilikua ngumu sana kwani mtaji wangu ulikua mdogo, lakini namshukuru Mungu amenisaidia hadi leo biashara yangu imekua kubwa. Nimekua na malengo mengi sana na namuomba Mungu aendelee kunipa baraka zake nifikie malengo yangu hasa kwangu kama kijana nimekua nikitamani vingi sana.
Kuwa na gari nzuri nyumba nzuri nk.
Kuna siku nilikaa nikafikili hivi ni lini nitapa sehemu ya kupata ma-milioni ya pesa jibu nikawa sipati.
[HASHTAG]#nikatumia[/HASHTAG] muda wangu mwingi kusoma vitabu vya ujasiriamali nikagundua, kwamba hakuna alifanikiwa kwa kupata mapesa rundo bali njia ya kufanikiwa ni kujiwekea akiba ambayo itakua the big Point ya kufanikiwa.
Nikaamua kila siku niweke Tsh 20k per day kwa mwezi target yangu iwe 600,000 kama mshahara wangu katika biashara zangu, kwa mwaka milioni 7,200,000. Kwasasa nipo mwezi wa 3 nimefanikiwa kwa asilimia 55% kwa hii imeniongea nguvu zaidi ya kupigana ili nisifeli.