Malecela: Magufuli hatarini

siasa buana, mzee anaiomba serikali imuongezee ulinzi, kwani hiyo serikali inaongozwa na nani?
 
Labda anamwombea kazi ya ubaunsa Le Mutuz.....you never know



Le Mutuz hajitambui japo he's almost 60 years old. Yeye aje apewe ubaunsa kwa Magufuli badala ya kumlinda Mh. rais yeye atakuwa bize kujipiga "Selfie Ekoti Te," na wasichana uchwara anaowapigia promo hapa mjini kwa mshahara wa hugs.
 
Magufuli aongezewe ulinzi wa nini wakati ni kipenzi cha watz,wamuue waone mimi nitaanzisha kundi la ISIS kwaajili ya kuwaua mafisadi wote hata kama haujashiliki kuua,na nitaanza na mkuu wao yule mwenye nywele nyeupe alafu namaliza na madereva wa magari yanayobeba makontena
 
Na ole wao wathubutu kumdhuru raisi wetu Magufuli japo kwa lolote tu,
Nadhani ndio watajua kwamba Watanzania walikua wanampenda na kumhitaji au lah.

Yani patachimbikaje hapa? hakiyanani!!!!! watatubeba eti wamguse huyu kipenzi chetu weweeeeee..... tutadedishana aiseeee!!!! Yani hata mbu au nzi hatitakitaki amguse. God bless our president JPM
 

Attachments

  • 1449676996052.jpg
    27.6 KB · Views: 381

Huo ni uoga husio na msingi kwani ulinzi wa rais ni imara na murua au ndiyo aliyosema pinda kuwa mafisadi wakiguswa nchi itayumba?
 
Kweli kabisa.
Tukumbuke na yaliyotokea "ajali" ya Sokoine.
Wanaotikiswa safari hii wamo kambini mwa watawala.

Unataka kutwambia kuwa sokoine alifanyiwa kitu mbaya? Una ushahidi wa kujitosheleza?
 
ni vema wazee wetu wajifunze kukaa kimya badala ya kupayuka
Raisi wetu hahitaji kuambiwa hilo kwa sababu analijua vizuri sana kuliko hata wao
Nchi yetu kwa kasi hii ya mpendwa raisi wetu ni miaka miwili tu itakuwa kwenye nchi zenye uchumi wa kati ambao kasi yake ya upaaji itakuwa ni zaidi ya asilimia 20
Katika mazingira kama haya hata idara zetu za usalama zinajua umuhimu wa hili jambo lakini paia kikubwa ni kujua kwamba kila mwenye kutenda jema yupo poja na Mwenyezi Mungu
 
Kwa uzalendo wa Magufuli, analindwa na karibu nchi nzima sasa. Atakayemgusa amegusa hell fire
 
Anajipa tu ujiko.Hakumbuki yeye si rais tena. Na wala hatakaa awe tena milele. Hata akina Geo Davy na Gwajima wana walinzi.

Kwani urais ni nini? Akiamua anakuwa rais wa wacheza disco au wacheza bao
 
Hahahahaha CCM wameipenda wenyewe, ngoja waisome namba! Aie wengine yetu macho tu
 
Mzee malechela anatafuta kick tu ili mkewe aliyekosa ubunge akumbukwe kwenye U DC

Kama amekataliwa na wananchi huo udc atamuongoza nani?
 

Vipi cc ya ccm jana iligusia meli ya kigogo iliyokamatwa ughaibuni na meno ya tembo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…