Malecela: Kingunge hana shukrani

Malecela: Kingunge hana shukrani

amesema hayo akiwa wapi? tuseme wao watapigana UKAWA watapita katikati
It is true, waache wafu wajizike wenyewe.

Vita ya wao kwa wao inazidi kuisafishia njia Ukawa kuingia Ikulu mwezi Novemba mwaka huu.

Itakuwa ni mpango wa Mungu, wao wavurugane ili chama chao kisambaratike, ili wananchi wanyonge na masikini wa nchi hii ambao wanekuwa wakiishi katika umasikini wa kutisha wapate kukombolewa na wakombozi wa kweli, ambao ni Ukawa.
 
Kingunge anataka rushwa tu yeye hawezi kuwachagulia watanzania Rais leo hii kasahau Mwl. Alimkataa Lowasa

Kingunge anazeeka vibaya sana,au labda anamuwekea misumali makusudi ili mtoto wake kinje apate nafasi ya kugombea
 
Hiyo hekima Membe kaiokota lini?

Membe huyu huyu aliyesema akiwa rais kuna watu wajiandae kuhama nchi.

Mkuu inawezekana alimaanisha mafisadi,ndio itabidi wahamie uholanzi( the hague)
 
Haya haya sasa !

View attachment 255993
Mwanasiasa mkongwe wa CCM mzee John Malecela amemshangaa mzee Kingunge na kumuita Yuda na msaliti, ndumilakuwili na mchochezi na hana shukrani hakumbuki alichofanyiwa na serikali ya Kikwete huyu Kingunge.

Anakusanya ushuru stendi ya Ubungo na maeneo mengine ya mji hela anazokusanya kila siku anampa nani au aliwashawahi kutoa msaada wowote kwenye kituo cha kulea watoto yatima? Mzee Malecela amesema Kingunge aache kabisa kuwachagulia mtu anayefaa kuwa Rais kazi hiyo ipo mikononi mwa CCM kwenye mkutano mkuu hata CHADEMA, CUF hufanya hivyo kwenye vikao vyao maalumu.

Mzee Malecela amesema kura ya veto iliyomtoa manyoya yeye wakati anagombea Urais ndio itakayotumika kuangalia mgombea mwenye Sifa zote zinazohitajika kwa Tanzania ya sasa na nyingine pia awe msafi, mpole, mchana Mungu mwenye maadili.

Malecela amesema Rais hawezi kupatikana kwa kelele za watu, porojo na maigizo; muda ukifika kila Mgombea atabeba msalaba wake.

Kwa matendo waliyoyafanya kugawa watu kwa kuwanunua kwa uchu wa madaraka, mbegu hiyo ni mbaya sana kwa Taifa kwani kuna uwezekano Taifa lilitagawanyika tusipokuwa makini na wasaka urais kwa nguvu.

Hahaaaa ngoja nijisomee Biblia yangu hapa kuhusu wale wajenzi wa mnara wa Babeli halafu nitarudi.
 
Aisee Mangi,nimeamini lichama la kijani linapasuka pwaaaaa!
kama na huyu mseee ametoka pangoni na kutoa maoni?
Babangu lunapasuka kweliii.
 
Ma mdogo unawashwa na zito ww,kila ukicomment lazima umtaje zito,kama umetokea kumzimikia longa nae ukimya hautakusaidia

Naona iq yako ni ya ki msukule,msukule na unajionyesha ni jinsi gani hujui hata kusoma,kwenye post yangu sijaandika neno zito,ndooooroooobo ww
 
afu watu mnajua kuwawekea maneno wenzenu?
mwachen baba wa watu Malecela apumzike zake ale mafao yake msimuwekee maneno mdomon
wala yy sio kichaa ama mjinga kama ulivyandika apa
Halaf huu mchezo umekolea wa watu kuwalisha maneno watu, mara sitta, mara mwakyembe
 
Malecela anampigia debe lile toto lake kubwa Jing. Both Malecela na Kingunge hawana jipya, hadhi zao mbele ya jamii haipo tena
 
....

....Mtaikumbuka Katiba ya Warioba

Katiba ya Warioba ni bora sana na iko imara sana inaweza kuishi hata miaka 100. Ukiwekeza kwenye katiba unatengeneza uchumi safi ndani ya nchi yako. Lakini hii ya chenge na Samweli Sitta haiwezi kuishi hata miaka 2 watanzania wanadai katiba yao.
 
Thank you mzee Malecela

Halafu kina mijitu humu kisa imehongwa na kuahidiwa madaraka inajitoa ufahamu kabisaaaa!
 
Hii movie nzuri sana mwaka huu.watakapogawanyika ndo utakua mwanzo wa watanzia kuona uozo uliofichika kwa watu wanaodai bila wao taifa haliwezi songa
 
Back
Top Bottom