Malecela: Kingunge hana shukrani

Malecela: Kingunge hana shukrani

afu watu mnajua kuwawekea maneno wenzenu?
mwachen baba wa watu Malecela apumzike zake ale mafao yake msimuwekee maneno mdomon
wala yy sio kichaa ama mjinga kama ulivyandika apa
 
Naiona ccm ikisambaratika taratiibu na kuelekea kuzimu kisiasa

Mkuu na wengine hawa huku lazima kieleweke tu
Pesa sio kila kitu.jpg
 
Huyu mzee apumzike kwa amani tu, siasa zishamshinda kitambo....

Au akatumie muda wake wa ziada kufukua vile visima vya wananchi wa jimboni kwake alivyovifukia aliponyimwa ubunge.....
 
Ukiona ndugu(CCM) wanagombana shika jembe ukalime.CCM siyo vyama vya upinzani vya bongo(Vitega uchumi).
 
Kingunge kapigika kweli anahitaji msaada wa mafisadi kuishi.
 
Mzee malecela ameongea kweli tupu.mimi mwenyewe nimemshangaa sana mzee kingunge.
 
Kingunge anataka rushwa tu yeye hawezi kuwachagulia watanzania Rais leo hii kasahau Mwl. Alimkataa Lowasa
 
Huyo mzee nae vipi jamani asije anamsema kingunge na wengine ili yy agombee
 
Back
Top Bottom