Malcolm X Audio Speeches



nakubali kiongozi.
Umeeleweka vzr mno
 
Ndiyo. Alikuwa shoga. Nenda google tafuta kuhusu u-gay wa Malcolm X.

acha kupotosha umma aisee.
hzo zenu ni skendo. Malcolm X alipitia uguni mwingi sana kama kuuza bangi, madawa ya kulevya, Ujambazi na usimamizi wa danguro.
ila hyo ya Ushoga haipo.
acha fix bhna
 
du, kwani alikuwa bwabwa? chakula cha watu? mboga? si riziki? mbonyezo?

hapo umedanganywa kijana.
Malcolm X alipitia uhuni mwingi kama kuuza bangi & dawa za kulevya, ujambazi, usimamizi wa danguro na ktl hayo ndiyo yaliyompelekea kufungwa miaka 10.
hlo la ushoga halipo huyo alokwambia hyo ana sababu zake binafsi muulize vzr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…